Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,601
- 4,087
WAKUU,
BINTI YANGU ALISOMA PCM MWAKA JANA,
MATOKEO YAKE NI "EDE",
WAKATI TCU WANATAKA ANGALAU "D" MBILI NDIPO MTU APATE UDAHILI WA KUSOMA DIGRII,
NA BAJETI YA KUMPELEKA KUSOMA DIPLOMA ILIKUWA FINYU.
SASA LEO KANIAMBIA KUNA WENZIE WAWILI WENYE "D" MOJA NA "E" MBILI WALIPATA NAFASI YA KUSOMA DIGRII; MMOJA "ARDHI UNIVERSITY" NA MWINGINE CHUO CHA MAJI PALE UBUNGO NA MKOPO WALIPATA,
HIVYO NAYE ANATAKA KUOMBA KUSOMA DIGRII MWAKA HUU.
NAULIZA,
KUNA ALIYEWAHI KUPATA TAARIFA HALISI YA MTU ALIYEPATA UDAHILI WA KUSOMA DIGRII KWA VIGEZO VYA "D" MOJA NA "E" MBILI KWA MWAKA WA MASOMO 2022/2023??