Ukweli ni kwamba, toka Amini Achukue Nchi, Mwl alifadhili vikundi vya wakina Obote na vinginevyo vikawa vinaingia Uganda vinashambulia vikitokea maporini mpakani upande wa TZ Kagera.Kwahiyo Uganda hawakutuchokoza kwa kuivamia Kagera?
ππkwa hiyo amin alitegwa akategekaππUkweli ni kwamba, toka Amini Achukue Nchi, Mwl alifadhili vikundi vya wakina Obote na vinginevyo vikawa vinaingia Uganda vinashambulia vikitokea maporini mpakani upande wa TZ Kagera.
Amini alijaribu kuongea hili na Mwalimu, alivoona mambo yanaendelea akachukua maamuzi japo likawa ndio anguko lake
πππππMie naona Bora angeichukua Tu kagera ikawa sehemu ya Uganda maana watu wake hawafurahi kabisa kuwa watz.
Yaani wanapangiwa Hadi pa kuuza kahawa waliolima wenyeww
Huruma ya hivyo inabidi tuiache kwa sababu itakuja kutugharimu sanaππππWatz tuna huruma sana
Kabisa, maana hata wakati tunampiga Amini tuliambatana na makundi kadhaa ya waasi, ambao ndio hao Mwalimu alikua Sponsor!ππkwa hiyo amin alitegwa akategekaππ
atachapwa viboko 12 wakati anaingia jehanam/mbinguni na vingine 12 akitoka.
ππππhizi bangi za mkoa gani?
Labda cha Arusha kachanganya na ugorohizi bangi za mkoa gani?
Ngoja waje mkuuNamaanisha tusirudie kosa na kumuacha dikteta afe kifo cha asili
Afadhali Mkuu nawe umeongea.Kimsingi,wazee wetu wengi walioenda vitani ukiwauliza kuhusu Idd Amin wanasema he was such an evil man.Pale Uganda walishuhudia mabaki ya uovu wa Amin, mengine waliambiwa na Waganda wenyewe.Na ndo maana JWTZ haikukutana na upinzani kutoka kwa raia, sana sana walipokewa kwa shangwe zote.Idd amin aliepuka kifo kwa sekunde kadhaa tu
Najivunia mzee wangu alikwepo front line kumchapa huyo nduli
Magufuli yupo imara hakuna wa kuichokoza nchi yetu
Na ukichunguza wengi wao wanatoa utetezi wakichagizwa na udini.
Na sijui kwanini hawawaulizi wapiganaji kama Yusuph Himid kuhusiana na Amin?
Wewe peke yako mkuu unatosha ππππππNgoja waje mkuu
ππππLabda cha Arusha kachanganya na ugoro
Nigeria-TZ diplomatic saga Ndio mwanzo wa viwanja vya biafra sio?Duh..Aliyemfukuza ni Nyerere ila jamaa alikuwa na marafiki wenye nguvu tu na walikuwa wakiona yupo sawa Gadafi anayetajwa sana ni mzuri alimtumia shehena ya silaha Saudia walimpa hifadhi
Nyerere naye alikuwa akiingilia mataifa ya watu na kupindua serikali zao huku akizituhumu zimemchokoza kama Marekani inavyofanya,
Alipindua Serikali ya Uganda ikiwa huru, Serikali ya Zanzibar ikiwa huru, na akaunga mkono waasi huko Nigeria waliotaka kujitenga
Wafuasi wake watasema alikuwa anafanya kwa nia njema ila kwenye siasa kila mtu akifanya kitu anadai anafanya kwa nia njema
Aisee hii ndiyo nimeisikia leoNigeria-TZ diplomatic saga Ndio mwanzo wa viwanja vya biafra sio?
Point yako hasa nini mkuu funguka!Habari wakuu,
Kitendo cha kumuacha idd amin dada akimbie na kumuacha mpaka afe kwa amani kilikuwa ni mfano mbaya sana kwa madikteta, sasa madikteta wanajua wanaweza kuichezea nchi yetu na wakakimbia bila kuchapwa, huu ulikuwa ni mfano mbaya sana, kosa kama hili tusilirudie tena
Asanteni
Ilitakiwa tumkamkate au kumuua nduli idd amin dada, hakupaswa kufa kwa amaniPoint yako hasa nini mkuu funguka!
Mmmm..OK.Hapa napo nimejifunza kitu nilichokuwa sikifahamu.Nigeria-TZ diplomatic saga Ndio mwanzo wa viwanja vya biafra sio?