Hayo ni mawazo ya mwanaume asiyejiamini usiwape watu wakujaze na fikra za kijinga...msupport mkeo katika hilo suala la elimu na isitoshe wewe ndio sababu ya yeye hadi leo hii hajahitimu masomo ulimkatisha masomo
Jamani jiamin isitoshe ulimpiga mimba halafu unampenda pia unafaham sana tabia yake, we msomeshe jiamini, akilagaiwa bass utaowa mwingne mbona wapo weng tu kaka, usikonde kwa hilo kaka wanaume waga hatunahofu hasa ukiwa unaelimu yako na kazi yako nzuri haina shida, hata kama we ni mwam utapata tu mfanya kaz mwenzio