Kumsomesha mke wako chuo

Kumsomesha mke wako chuo

Baba mdogo alimsomesha mke wake kuanzia olevel mpaka chuo kikuu ila yeye ni la saba tu,badae mke akataka kumgeuka baba alistuka alimzalisha gafla mimba za mfurulizo kila mwaka na kipigo juu sasa ana watoto watano,Ukitaka kuishi na mmachame uwe ngangali coz alijaribu hata kumloga ili waachane ikashindika
 
Mie nilidhani sababu ya msingi na nambari moja ni kuwa unampenda? Inaonekana unampenda mtoto zaidi na hili linaweza kukusababishia matatizo kama akibadilika huko mbele ya safari.

BTW, hebu jaribu kufikiria kama ungekuwa unatembea na hawara au kahaba, ungelipia kiasi gani? Hata kama ni kidogo, basi chukulia kwamba hii ni zawadi kwa mtu aliyekupenda (may be na wewe unampenda). Halafu hayo mengine na maneno ya watu achana nayo!

Sure thing,along side comes strong love to her
 
Wanaume mmekuwa waoga na msiokuwa na muelekeo kweli sijui kwanini, why hamjiamini na mfanyayo? Kila kitu lazima mtafute oppinions za watu? Wakikuambia acha ndio wamuachisha shule?
Akiamua kukubadilikia anakubadilikia tu hata kama hajasoma/hasomi na uko nae hapo home.
Afterall ww ndio waishi nae wamfahamu zaidi yetu, so just do whts best, acha uoga, failures za wengine zisidefine maisha yako.
 
Msomeshe tu, wewe unashida gani? kakupa zawadi ya mtoto inatosha, wewe endelea kuonesha upendo wako kama kawaida, lakini akirudi ukampime kwanza ndiyo uendelee.............Maana kuna Maudhi chuoni asikwambie mtu,
mi niliwahi kumshuhudia jamaa akimsomesha mke wake, halafu chuo mke amevua pete anabanjuka na mshikaji....
kuna vitu maumivu yake huwezi kuelezea, wala kuandika, wala kuchora....UKIMYA UNATOSHA.
 
Habari wadau, Naomba niwashirikishe katika hili.

Nina mke wangu ambaye kwa sasa tuna kama miaka takribani sita,wakati tunaingia mahusiano alikuwa yupo form six,alipomaliza tu A-level nikampa mimba bahati nzuri alipata nafasi akachaguliwa kwenda St John Dodoma na mkopo juu asilimia kama themanini hivi,kutokana na hali halisi aliyokuwa ya ujauzito kwake likawa tatizo tukaamua kuahirisha tena bila wazazi wake kujua.

Baada ya miaka miwili na miezi nane akiwa amejifungua na mtoto angalau mkubwa mimi nikaamua aende chuo atimize ndoto zake.Mpaka sasa anasoma chuo na ameingia mwaka wa pili.

Tatizo nililonalo ni kuwa kuna baadhi ya watu wamekuwa wakinibeza kuwa napoteza muda vyuoni kuna mambo mengi watakuchukulia na mwanamke atakuja kunigeuka nikabaki nisijue la kufanya.

Mwaka 2017 ndio anamaliza chuo.

Je, wewe mdau mstaarabu hembu nisaidie kwa hekima zako!

huyo ni mke sio demu we somesha hadi PhD
 
Mkuu nandembako, usisiikilize maneno ya watu. Uaminifu ni tabia ya mtu na ni uamuzi wa mtu kuwa mwaminifu au kutokuwa mwaminifu. Ni kweli, hukoc chuoni kuna vishwawishi vingi sana ila kama mkeo ni mtu mwenye msimamo hatoshawishika, atabaki mwaminifu kwako siku zote hata kama mmetenganishwa na umbali.

Mimi nakushauri, endelea kumwamini mkeo na kumpenda. Achana na maneno ya wazushi ambayo yatakupa wasiwasi ambayo yatakufanya ufanye kitu ambacho kitaharibu ndoa yenu.
 
Last edited by a moderator:
Wanaume mmekuwa waoga na msiokuwa na muelekeo kweli sijui kwanini, why hamjiamini na mfanyayo? Kila kitu lazima mtafute oppinions za watu? Wakikuambia acha ndio wamuachisha shule?
Akiamua kukubadilikia anakubadilikia tu hata kama hajasoma/hasomi na uko nae hapo home.
Afterall ww ndio waishi nae wamfahamu zaidi yetu, so just do whts best, acha uoga, failures za wengine zisidefine maisha yako.

Umenikumbusha ile habari yenu ya jana ya kutafuta approval ya marafiki. Wanaume hatukuumbwa hivyo ila nashangaa vijana wanaanza kuingia kwenye hiyo line. Men were made to act and bear the aftermath!
 
Jidanganye,hao kenge huwa hawasomeshwi,unaharibu mizania,mizani ilikuwa imebalansi were unaongeza uzito upande wake,hao viumbe waliongea na shetani wa kwanza kabisa kati ya viumbe wote mungu alioumba,utakuja kulia,mwanamke mwanamke tu,awe binti,mkeo,kakuzalia,mzee. Tupa kule

Acha kuita binadam wenzio kenge
 
Umenikumbusha ile habari yenu ya jana ya kutafuta approval ya marafiki. Wanaume hatukuumbwa hivyo ila nashangaa vijana wanaanza kuingia kwenye hiyo line. Men were made to act and bear the aftermath!

Ofcoz, mwanaume anakuwa defined pia kwa kufanya maamuzi magumu hata kama dunia nzima is against you, hii ya kuhangaika hangaika kuuliza kila kitu utajikuta unaishi maisha ya watu na sio yako.
 
Mkuu ,tusiwen na hofu ya kuchapiwa kiasi hicho. Suala la kugongewa ni suala la tabia na uamuzi wa mwanamke
husika tu (hurka tu ya mtu husika) , kwani ukisomesha mwanamke unakuwa umeandaa mazingira mazuri hata kwa watoto wenu
hata ikitokea bahati mbaya ukatangulia mbele za haki au ukapata kilema cha kudumu (ambacho huwezi fanya kazi)
hali itakuwaje .....??

Kumbuka unaweza kuwa na hofu ya kugongewa kiasi hicho
lakini ukakuta hata na house boy au mlinzi ambaye una muamini na kumuacha
na mkeo hapo nyumbani wewe ukienda kwenye michakato ya kusaka ankala.

Habari wadau, Naomba niwashirikishe katika hili.

Nina mke wangu ambaye kwa sasa tuna kama miaka takribani sita,wakati tunaingia mahusiano alikuwa yupo form six,alipomaliza tu A-level nikampa mimba bahati nzuri alipata nafasi akachaguliwa kwenda St John Dodoma na mkopo juu asilimia kama themanini hivi,kutokana na hali halisi aliyokuwa ya ujauzito kwake likawa tatizo tukaamua kuahirisha tena bila wazazi wake kujua.

Baada ya miaka miwili na miezi nane akiwa amejifungua na mtoto angalau mkubwa mimi nikaamua aende chuo atimize ndoto zake.Mpaka sasa anasoma chuo na ameingia mwaka wa pili.

Tatizo nililonalo ni kuwa kuna baadhi ya watu wamekuwa wakinibeza kuwa napoteza muda vyuoni kuna mambo mengi watakuchukulia na mwanamke atakuja kunigeuka nikabaki nisijue la kufanya.

Mwaka 2017 ndio anamaliza chuo.

Je, wewe mdau mstaarabu hembu nisaidie kwa hekima zako!
 
very good,wengi mmekuwa na mawazo positive juu ya hili inapendeza kweli
 
wanao kubeza waulize vizuri,tena hao ndio mabingwa wakuhonga balaa mimi nawashikaji nawafahamu walikuwa wanaponda sana watu wanao somesha wanawake zao,lakini ukichunguza wanacho honga ni zaidi ya ada we uliyolipa kwa career development ya mwanamke wako,wengi wamehong mitaji ya saloon,grocery,cosmetics shop na maduka yanguo..Nakunakipindi mtaji unayumba baba anaingia mfukoni ana refund project ambayo hali hata mia kwenye huo mradi..

mwanangu somesha mkeo dont wait for returns lakini fanya kama vile umetoa mahitaji yafamilia kwa kila siku,isipokunufaisha wewe mwanao atanufaika nayo
 
Habari wadau, Naomba niwashirikishe katika hili.

Nina mke wangu ambaye kwa sasa tuna kama miaka takribani sita,wakati tunaingia mahusiano alikuwa yupo form six,alipomaliza tu A-level nikampa mimba bahati nzuri alipata nafasi akachaguliwa kwenda St John Dodoma na mkopo juu asilimia kama themanini hivi,kutokana na hali halisi aliyokuwa ya ujauzito kwake likawa tatizo tukaamua kuahirisha tena bila wazazi wake kujua.

Baada ya miaka miwili na miezi nane akiwa amejifungua na mtoto angalau mkubwa mimi nikaamua aende chuo atimize ndoto zake.Mpaka sasa anasoma chuo na ameingia mwaka wa pili.

Tatizo nililonalo ni kuwa kuna baadhi ya watu wamekuwa wakinibeza kuwa napoteza muda vyuoni kuna mambo mengi watakuchukulia na mwanamke atakuja kunigeuka nikabaki nisijue la kufanya.

Mwaka 2017 ndio anamaliza chuo.

Je, wewe mdau mstaarabu hembu nisaidie kwa hekima zako!


Kwanza kabisa lazima ukumbuke jamabo moja...mtu akinda chuo anapanua mawazo so what she desired then myt not be what she deaires after finishing university. So anaweza rudi akakuona wee sio wa size yake.

Pili kwa kwenda chuo probability ya kugongewa ni 1. sasa kwa kuwa wewe ndio ulimkatiza masomo mwanawane...mie naona u did the ryt thing kumsomesha na endelea kufanya hivyo but usishangae mke akigeuka na kuwa diferent.
 
kumbuka ulimwachisha kwenda chuo alichopata pamoja na mkopo wa chuo ni jukumu lako kumsomesha sasa
 
Jamani mkeo kwenda chuo haimaanishi anaenda kufundishwa kuchepuka kama ni mtu anayejielewa wala hatabadilika
 
Jidanganye,hao kenge huwa hawasomeshwi,unaharibu mizania,mizani ilikuwa imebalansi were unaongeza uzito upande wake,hao viumbe waliongea na shetani wa kwanza kabisa kati ya viumbe wote mungu alioumba,utakuja kulia,mwanamke mwanamke tu,awe binti,mkeo,kakuzalia,mzee. Tupa kule

Duuuh, inaonesha umetendwa ww
 
Ni tabia ya mtu tu. Ingawaje wengine kweli hubadilika kwa kuiga tabia za wenzao. Jipe matumaini tu binadamu hafugwi kama mnyama. Hata nyumbani kwako wangekugongea tu. Mwamini
Mkeo!
 
Jidanganye,hao kenge huwa hawasomeshwi,unaharibu mizania,mizani ilikuwa imebalansi were unaongeza uzito upande wake,hao viumbe waliongea na shetani wa kwanza kabisa kati ya viumbe wote mungu alioumba,utakuja kulia,mwanamke mwanamke tu,awe binti,mkeo,kakuzalia,mzee. Tupa kule

Acha hzo wewe. Mwanamke alipata nafasi ya kusoma tena na mkopo mzuri tu. Mimba ikamfanya asiendelee na masomo sasa leo akienda kusoma kuna shida gan? Nyie watu wengine mna matatizo ya kisaikolojia umeona aibu kutaja 'mama yako'.... Ululala tumboni kwa mwanamke leo unaongea kwa dharau kama vile baba yako ndo alibeba mimba!!? Acha kabisa hata kama unavuta bangi jitahidi kuwa mstaarabu. @@*&%!!!
 
Habari wadau, Naomba niwashirikishe katika hili.

Nina mke wangu ambaye kwa sasa tuna kama miaka takribani sita,wakati tunaingia mahusiano alikuwa yupo form six,alipomaliza tu A-level nikampa mimba bahati nzuri alipata nafasi akachaguliwa kwenda St John Dodoma na mkopo juu asilimia kama themanini hivi,kutokana na hali halisi aliyokuwa ya ujauzito kwake likawa tatizo tukaamua kuahirisha tena bila wazazi wake kujua.

Baada ya miaka miwili na miezi nane akiwa amejifungua na mtoto angalau mkubwa mimi nikaamua aende chuo atimize ndoto zake.Mpaka sasa anasoma chuo na ameingia mwaka wa pili.

Tatizo nililonalo ni kuwa kuna baadhi ya watu wamekuwa wakinibeza kuwa napoteza muda vyuoni kuna mambo mengi watakuchukulia na mwanamke atakuja kunigeuka nikabaki nisijue la kufanya.

Mwaka 2017 ndio anamaliza chuo.

Je, wewe mdau mstaarabu hembu nisaidie kwa hekima zako!

NPM unipe detail zake nitakuwa nakupa mrejesho. Mi ndo kituo changu cha kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom