Kumsomesha mke wako chuo

Kumsomesha mke wako chuo

Mimi Kama Mchungaji, Nashindwa Kusema Hapa Yote Kama Hutojali Utanipgia Cm nikupe maelekezo. 0786100772, 0757856336.
 
Kuna rafiki yangu (fundi seremala) alifanya hivyo kama wewe baada ya mke kuzaa na mtoto kutimiza miezi 4 tu akamruhusu mkewe akasome chuo cha ualimu kagunguli ukerewe. Kilichotokea baada ya demu kumaliza chuo ni aibu, mpaka sasa demu aliolewa na mwanamume mwengne.

Niliwahi kufundisha Chuo cha Ualimu Murutunguru na Kagunguli ni sekondari. Labda kama kuna mabadiliko.
 
asante sn kwa kuwa mwaminifu kuweza kunipigia, kwa hayo machache anza nayo, lkn km tutawasiliana ntakupa picha vzr.

aanze kwa kumjengea picha huyo mwanamke ni kwmb yeye ndiye amemchagua kuwa mke na mama wa watoto kwa maisha yote ya hapa duniani. pili ktk kuthbtisha ilo anaweza sasa kuanza taratibu za kifamilia ya kwao kwa ajili ya kumahari, iyo itamsaidia na kumpa nguvu zaidi binti kuweza kujiheshm na kujitunza akijua ni mke wa mtu.
 
Hayo ni mawazo ya mwanaume asiyejiamini usiwape watu wakujaze na fikra za kijinga...msupport mkeo katika hilo suala la elimu na isitoshe wewe ndio sababu ya yeye hadi leo hii hajahitimu masomo ulimkatisha masomo

Kama si mwaminifu, hata ukimfungia ndani atagongwa humohumo ndani. Okoa familia yako kwa kumuondolea ujinga, mengine ni akili ya mtu na Mwachie Mungu.
 
Kumsomesha msomeshe tu. Kwanza kumbuka wewe ndo ulimkatisha masomo yake baada ya kubeba ujauzito wako. Afu hiyo elimu ni kwa ajili yenu wote na mtoto.

Pili, Simamia kile unachokiamini afu muamini tu mkeo. Kwani umeona kama tabia zake zimeanza kubadilika? Please usimuwazie vibaya usije "ukaumba" Vitu vibaya. Mtu wa kubadilika atabadilika tu hata kama ameishia vidudu
 
Mkuu elimu yako kiwango gani, na kipato chako kwa mwenzi kita kuwa juu au Chini baada ya kupata kazi huyo mwanamke. Ninauzoefu wa issue 1 St John dodom Kuna tukio 1 lilitokea jamaa wa kitaa kampa mwanafunz mimba demu alikuwa anakaa bure pale alipokuwa hamepanga mtoto kajifungua chuo kamaliza kapangiwa sehemu 1 kazi Ila ilikuwa mbali na mme wake mahusiano yakawa yanasuasua siku ya siku mahusiano yakavunjika. So usikate tamaa ww somesha kila mtu na moyo wake hatakusaid ktk shida
 
Mimi nawashangaa hawa watu humu,kama mwanamke alibadilika akiwa mbinguni mbele za mungu na malaika na raha zote, Je hapa duniani?

Duuu hii nayo...
 
Mwanaume ni kichwa cha nyumba.
Je, wewe ni kichwa cha nyumba au cha wendawazimu?
Kama wewe ni kichwa cha nyumba kwanini wengine wanakusaidia kutoa maamuzi juu ya unayoamua wewe na mkeo?
 
Msomeshe tu hayonmengne mwachie mungu. Wakati nipo chuo ni wamama/wababa wachache sana waliolewa/kuoa hawakuwa na vidumu apo chuoni, tena mara nyngi ni wao kwa wao wanapoozana.
 
Mke wangu wakati namuoa alikuwa na elimu ndogo japo alikuwa ktk ajira tulipozaa tu nikamwambia hapa ni elimu elimu akaanza diploma mpaka sasa anamalizia masters msomeshe mkeo kwa faida ya mtoto wako mimi sijari mke wangu mpaka sasa ameshanizidi elimu ninachokiangalia mbeleni ni kuwa watoto wangu watapata elimu sababu mama yao anajua faida ya kusoma
 
nandembako

Usiwe muoga wa kumsomesha mkeo. Ni kweli chuo kuna mambo mengi sana na wake wa watu wanagongwa kama kawa.Binafsi chuo nishagonga wake za watu tena wanaonizidi umri, yanatokea maana wale ni binadamu na wanakuwa na mihemko.

Cha msingi muamini mkeo na ukae uongee nae, usijifanye mpekenyuzi wa kumfuatilia fuatilia muache awe huru.

Umalaya/ukahaba ni hulka ya mtu, kuna wake za watu huko vyuoni wanajielewa na wengine hawajielewi.

Asante.
 
Last edited by a moderator:
mtie mimba nyingine haraka mno...mimba ya kwanza ndio ilimpa tabu hiyo ya pili atasoma fresh akiwa na tumbo lake otherwise jiandae kupigiwa na watoto wa chuoni kwao pale
 
Mimi Kama Mchungaji, Nashindwa Kusema Hapa Yote Kama Hutojali Utanipgia Cm nikupe maelekezo. 0786100772, 0757856336.

acha kufanya matangazo ya kibiashara humu...eboooo
 
Brother msomeshe mke,hao wanaokushauri wnaongelea kuhusu experience za watu wengine tu yanaweza yasiaffect jinsi hali yako ya kumsomesha na mahusiano yenu yalivyo
 
Inategemea na mtu mwenyewe, ila vyuoni kuna wake za watu wanafanya mambo ya aibu kuliko vibinti single.
 
Jidanganye,hao kenge huwa hawasomeshwi,unaharibu mizania,mizani ilikuwa imebalansi were unaongeza uzito upande wake,hao viumbe waliongea na shetani wa kwanza kabisa kati ya viumbe wote mungu alioumba,utakuja kulia,mwanamke mwanamke tu,awe binti,mkeo,kakuzalia,mzee. Tupa kule

Mkuu...una mama mzazi hapa duniani na ndugu wa kike,auu!????
 
Mkuu chuoni ni mazingira ya kawaida tu kama mtaani hakuna cha ajabu na wala usitishike kama ni tabia yake atachukuliwa tu akiwa chuo , kazini etc ila kama ni muanifu chuo ni sehemu ya kawaida tu kama nyingine.
 
9 times outta 10 kwa wanaosomesha wapenzi wao na kisha kumwagwa inakuwa hivi. Elimu na exposure atakayoipata shuleni, vinamfanya mwanamama kuijua thamani yake na kwamba she could actually do a whole lot better than sticking with you.

So basically, if you're a loser and you know it, just never spend your money on your woman's education. Cuz she will move on to a guy her standard, and leave you sore.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom