Asante sana wadau....imenifurahisha sana,point za wanaosupport ni nyingi kuliko wanaonibeza.....nia ya kuuliza ni kwamba mimi kama binadamu napata wasi wasi,najiuliza mbona naona nachokifanya ni sahihi kwa maendeleo ya familia,hata kama atafanya ujinga lakini hataweza kumchukia mwanae ambae ni damu yake....asanten wadau
Habari wadau,naomab niwashirikishe katika hili....nina mke wangu ambae kwa sasa tuna kama miaka takribani sita,wakati tunaingia mahusiano alikuwa yupo form six,alipomaliza tu A-level nikampa mimba bahati nzuri alipata nafasi akachaguliwa kwenda st John dodoma na mkopo juu asilimia kama themanini hivi,kutokana na hali halisi aliyokuwa ya ujauzito kwake likawa tatizo...tukaamua kuahirisha tena bila wazazi wake kujua,baada ya miaka miwili na miez nane akiwa amejifungua na mtoto angalau mkubwa mimi nikaamua aende chuo atimize ndoto zake...mpaka sasa anasoma chuo na ameingia mwaka wa pili,tatizo nililonalo ni kuwa kuna baadhi ya watu wamekuwa wakinibeza kuwa napoteza muda vyuoni kuna mambo mengi watakuchukulia na mwanamke atakuja kunigeuka nikabaki nisijue la kufanya....mwaka 2017 ndio anamaliza chuo,JE WEWE MDAU MSTAARABU HEBU NICHANGIE HEKIMA ZAKO!
pole sana mkuu, una elimu gani kwanza? dada zetu wengi wana tabia ya kudharau watokapo hasa wanapokuwa na elimu kubwa kuliko wenzi wao.Habari wadau,naomab niwashirikishe katika hili....nina mke wangu ambae kwa sasa tuna kama miaka takribani sita,wakati tunaingia mahusiano alikuwa yupo form six,alipomaliza tu A-level nikampa mimba bahati nzuri alipata nafasi akachaguliwa kwenda st John dodoma na mkopo juu asilimia kama themanini hivi,kutokana na hali halisi aliyokuwa ya ujauzito kwake likawa tatizo...tukaamua kuahirisha tena bila wazazi wake kujua,baada ya miaka miwili na miez nane akiwa amejifungua na mtoto angalau mkubwa mimi nikaamua aende chuo atimize ndoto zake...mpaka sasa anasoma chuo na ameingia mwaka wa pili,tatizo nililonalo ni kuwa kuna baadhi ya watu wamekuwa wakinibeza kuwa napoteza muda vyuoni kuna mambo mengi watakuchukulia na mwanamke atakuja kunigeuka nikabaki nisijue la kufanya....mwaka 2017 ndio anamaliza chuo,JE WEWE MDAU MSTAARABU HEBU NICHANGIE HEKIMA ZAKO!
Majukumu yake yatabaki palepale,usitarajie atakusaidia kununua nyanya,simenti,ada ya Mtoto,nguo,chakula,hayo ni yako NA ukimgusa ayafanye utaona anastuka,ila utapata kadi za bezdeiNi wazo zuri tu kiongozi, ila wamama nao wanachoshaaaaaaa! Msomeshe tu ila usitegemee kwamba lazima upate +ve social return on investment!
Jidanganye,hao kenge huwa hawasomeshwi,unaharibu mizania,mizani ilikuwa imebalansi were unaongeza uzito upande wake,hao viumbe waliongea na shetani wa kwanza kabisa kati ya viumbe wote mungu alioumba,utakuja kulia,mwanamke mwanamke tu,awe binti,mkeo,kakuzalia,mzee. Tupa kule
Mkuu hata akikuacha bado una mtoto naye ambaye kamwe hawezi kumtupa. Akitusua akikuacha bado mwanae huyo atabakia miongoni mwa warithi wake hivyo hutapoteza
Hamjifunzi tu? Ukisomesha mke/mpenzi lazima akuache au utamuacha wewe. Huwa wanabadilika sana.
Elimu ulomkuta nayo ikubali akitaka kujiendeleza ni juu yake. Usigharamie utajuta!!
Habari wadau,naomab niwashirikishe katika hili....nina mke wangu ambae kwa sasa tuna kama miaka takribani sita,wakati tunaingia mahusiano alikuwa yupo form six,alipomaliza tu A-level nikampa mimba bahati nzuri alipata nafasi akachaguliwa kwenda st John dodoma na mkopo juu asilimia kama themanini hivi,kutokana na hali halisi aliyokuwa ya ujauzito kwake likawa tatizo...tukaamua kuahirisha tena bila wazazi wake kujua,baada ya miaka miwili na miez nane akiwa amejifungua na mtoto angalau mkubwa mimi nikaamua aende chuo atimize ndoto zake...mpaka sasa anasoma chuo na ameingia mwaka wa pili,tatizo nililonalo ni kuwa kuna baadhi ya watu wamekuwa wakinibeza kuwa napoteza muda vyuoni kuna mambo mengi watakuchukulia na mwanamke atakuja kunigeuka nikabaki nisijue la kufanya....mwaka 2017 ndio anamaliza chuo,JE WEWE MDAU MSTAARABU HEBU NICHANGIE HEKIMA ZAKO!
Mimi nawashangaa hawa watu humu,kama mwanamke alibadilika akiwa mbinguni mbele za mungu na malaika na raha zote,