God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,790
- 3,020
Ni vizuri uwe mwepesi kusamehe kwa sababu najua makosa hayakosekani, so ukiwa unaweka vitu moyoni huo moyo utakuza mzito kama sim tak mwisho wa siku kukosa furaha moyoni.
Ukisamehe unakua comfortable sana na unabarikiwa na Mungu, embu jiulize Mungu angekua hasamehi dhambi zako tungebaki wangapi hapa duniani? Kuna makosa mazito sana kusamehe ni ngumu ila ww ukiwa tayari vitu vinapita tu na love inakua mingi sana... ila kwenye mapenzi pagumu mno mkuu...
Ukisamehe unakua comfortable sana na unabarikiwa na Mungu, embu jiulize Mungu angekua hasamehi dhambi zako tungebaki wangapi hapa duniani? Kuna makosa mazito sana kusamehe ni ngumu ila ww ukiwa tayari vitu vinapita tu na love inakua mingi sana... ila kwenye mapenzi pagumu mno mkuu...