mkuu...unaweza kusamehe ila kusahau ni ngumu
mie nakumbuka nilivo oa..wife baada ya miezi tu enzi izo ndoani..akaanza kuchat na ex wake, kutumiana vipicha half naked kumtamanisha sijui kawa mke wa mtu...uwezi amini niligundua..niliumia..niliumia aliona machoni mwake kaniumiza mme wake...alipagawa..maana nilipiga kimya baada ya ye kujua nimeona ule upupu..alinyooka..alitubu..ila mpaka kesho haamini sikumbutua sikumkwida wala sikumfanya chochote il hali kipindi cha uchumba ndo zilikua zangu ..
wanawake hawajui wanachotaka mostly, so ukishindwa kumsamehe jua ndo basi... na mimi nilimsamehe kwasababu alizingua na bila sababu..nikasema nisimbane sana maana hajijui alichofanya