Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 16,383
- 41,381
yani anakusaliti lakini bado unasema hajabadilika? Au unamaanisha kubadilika rangi?Ni kwel mkuu vp kwa mfano mwnamke akakussliti mara ya kwanza akakili na akaomba msamaha yakaisha alafu baada ya muda Tena karudia Yale Yale Tena vp unaweza msamehe
NB : bado anakujali na heshima iko pale pale yaan hajabadilika kitu
Sent using Jamii Forums mobile app