Kumsamehe aliye kusaliti

Ni kwel mkuu vp kwa mfano mwnamke akakussliti mara ya kwanza akakili na akaomba msamaha yakaisha alafu baada ya muda Tena karudia Yale Yale Tena vp unaweza msamehe

NB : bado anakujali na heshima iko pale pale yaan hajabadilika kitu
yani anakusaliti lakini bado unasema hajabadilika? Au unamaanisha kubadilika rangi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumsame aliyekusaliti Ni sawa na kumsamehe jamaa mmoja iv Yan anamaneno matam Sana kwamba sijui haiumi ,sijui ww Ni kidume usiogope Yan yule jamaa siji kumsahau hata siku moja ..... Hawa madokta madokta wanaotukata magovi bhana kwa kwel Ni wajanja sana
 
Habarini wana JF,

Hivi watu mlioko kwenye mahusiano ikitokea kakusaliti utamsamehe au utafanyaje? Na Je kuna watu ambao washawahi salitiwa na wakasamehe especially kama walikuwa wanawapenda sana wake zao?

Naombeni majibu wakuu
Dawa ya moto ni maji au mchanga, na sio moto

According to my philosophical thinking%√√

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maana yangu ni kwamba moto huwezi kuuzima kwa kuwasha moto tena,, moto hauzimwi kwa kutumia petroli au mafuta ya taa bali unazimwa kwa maji au mchanga au fire extinguisher powder, hii yote itategemea na aina ya moto wenyewe.


Mantiki yangu kwa ujumla nikwamba kama binti kakusaliti hebu mkaushie, mwacheni atembee na mia zake nawe utembee na hamsini zako, hata kama kama ni vip yan kum convice binadam mwenzako akukubali na asichepuke ni ngumu kiasi flan, alaf pia human being is a free being to make choices,

mi kwamfano demu wangu aliniletea ujuaji kiburi kingi kinyama, nkimpigia simu anaongea kwa dharau, mara eti yupo bize, nkawa simuelewi kiujumla, hahaha mwanaume nkaamua kula na hamsini zangu nkaanza kumpotezea, simtafuti wala sina shobo tena nkaanza kuwaza maendeleo yangu binafsi, mda mwingine mtu ukijifanya unamoyo wa kumpenda mtu kwa dhati anaanza kuvimba bichwa.


'Yan auaye kwa upanga sharti naye auliwe kwa upanga',

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh! Inahitaji moyo mgumu sana...maana hata ukimsamehe hautampenda kama mwanzo coz hakuna tena uaminifu hapo.
 
Back
Top Bottom