Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,602
- 112,658
Cheating ni kama mvua, it rains everywhere
kwa bahati mbaya sana zinakwenda sawa....to forgive and forgive...samehe na sahau...yote sawa lakini kama kunahaja ya kusamehe hautakiwi kukumbuka yalio pita
Naunga mkono hoja Eve, wakati mwingine inaleta relief.Cheating ni kama mvua, it rains everywhere
sori to forgive and forgetkwa bahati mbaya sana zinakwenda sawa....to forgive and forgive...samehe na sahau...
Samehe 7 x 70
Msamaha una nguvu kubwa, jifunze kusamehe.
Hapo ndo shida Sasa yaan nafikilia nabak sipat jibuMwanaume anaweza kumwacha mke kwasababu amemfumania, lakini cha ajabu mwanaume huyohuyo anaenda kuoa mke alieachwa kwa kosa la kufumaniwa...
Sio kwel mbona mm sijwah cheat hata mara moja yaan 100%Cheating ni kama mvua, it rains everywhere
Kwahyo mkuu umehararisha usalitiUnasamehe kwasababu hata wewe huwa unachepuka,pia nae ni binadamu, na kama kila ukisalitiwa unaacha,utaacha wangapi?
kisaikolojia hii haijakaa vizuri kwa kuwa unakuwa unalipiza kisasi hivyo haufanyi kwa starehe kama mkeo alivyogawa kwa raha zake wakati anakusaliti na pia hautapata raha kwa kuwa hautakuwa unapata raha Zaidi ya kufanya kwa kulipiza kisasi kwa mkeo. Cha maana ni kuuchuna tu na kuumia kivyako kila kitu kina muda utasahau tuDawa yake na wewe tafuta kifaa kingine kikali zaidi yake uone km atachepuka tena
Sio kweli mkuu,kunasababu kadhaa kwanini amefanya hivyoRafiki ukweli ni huu, Mwanamke (mke) ni rafiki yako namba moja pale tu haujangundua kama kachepuka au amekusaliti lakini kama akikisaliti na ukajua kwa ushahidi au mkiachana akaenda masimbe huyo ni adui yako namba moja yaani hata akiomba msamaha huku anatoka machozi ya damu.... wengi wamesukumwa na upendo na kijifariji kuwa amebadilika lakini leo hii wamejutia na hawana sababu ya kuwaacha tena
Iko hivi mwanamke akikusaliti na ukagudua lakini akaomba msamaha na ukamsahe tena na kumrudia.. wewe utafanya kama hisani ila yeye atakuona mjinga wake kwa sababu amekusaliti na bado umemrudia anaona hauna pa kwenda
Mkuu kuhusu kumjali namjari saana yaan namsaidia kila kitu yaan tunaish kama kaka yake na dada yake yaan kama kazi Zote nyumban tunasaidiana kila inapobid kama kupika, namsaidia kufua, kuosha vyombo namsaidia pia akiwa katingwa yaan kazi Zote Inshort hakuna kwamba kuna kazi special ya mtuNdugu yangu nachoweza kukushauri jaribukudadisi kwakina utapata ukweli kwanini umesalitiwa nakwanini anasaliti,sometimes ni vijisababu vya kijinga sana!!Kwa wanaume tunaosalitiwa mara nyingi sababu kuu ni sisi!!
Jipime jitafakari jipe muda kufanya maamuzi!!
Kwa umri wangu na niliyoyaona ukweli huo ndio mtazamo wangu.. hata kama mimi ndio chanzo cha yeye kunisaliti..Sio kweli mkuu,kunasababu kadhaa kwanini amefanya hivyo
Sawa mkuu sababu naamini hakuna ushauri mgumu kuutoa kama wa mahusianoKwa umri wangu na niliyoyaona ukweli huo ndio mtazamo wangu.. hata kama mimi ndio chanzo cha yeye kunisaliti..
Muulize tatizo nini hadi anatoka nje kiurafiki na ukaweka msimamo wako mbele,wakati huo nawewe ukifanya upelelezi wako chinichiniMkuu kuhusu kumjali namjari saana yaan namsaidia kila kitu yaan tunaish kama kaka yake na dada yake yaan kama kazi Zote nyumban tunasaidiana kila inapobid kama kupika, namsaidia kufua, kuosha vyombo namsaidia pia akiwa katingwa yaan kazi Zote Inshort hakuna kwamba kuna kazi special ya mtu
Kingine kuhusu tendo labda Hua namuulza mara kwa mara kama huenda ni sababu haridhk anasema hapana Hua nauliza usiwe una ekti as if unaridhika ili kunifurahsha mm anasema hapana nardhka kabsa na mm mwenyew namuona round anazokwenda Sasa kama yote hayo anardhka mm ndo nashndwa kuelewana nini tatizo
Hongera.....umeoa?Sio kwel mbona mm sijwah cheat hata mara moja yaan 100%