Mateso
JF-Expert Member
- Aug 6, 2008
- 259
- 19
Tatizo halikuwa ni ufisadi hivyo huna haja ya kumwomba radhi. Kimsingi hoja kubwa ilikuwa ni kwa namna gani mitamabo ambayo iko kwenye dispute ingeweza kuuzwa au kununuliwa kabla ya dispute iliyokuwa chini ya usuluhishi kwisha? Jingine sheria za manunuzi haziruhusu kununua vitu chakavu au vilivyokwishatumika. Hili ndo tulilombishia huyu Bwana mdogo na siyo jambo jingine. Kama wewe ulimwita fisadi uliteleza kutokana na uchungu wa nchi yako na kutokana na majeraha ya Richmond ambayo yalikuwa bado mabichi. Hivyo hustahili kuomba radhi kwa hilo kwani unampa kichwa cha bure. Mitambo hiyo haiwezi kuuzwa mpaka mgogoro ulioko kwenye usuluhishi uishe.