Kumradhi Mh Zitto Kabwe

JK anakwenda Marekani mara kwa mara. Huko ndiko yaliko makampuni mazito kabisa yanayounda haya majenereta ya kuzalisha umeme. Ameshindwaje kuomba ayatembelee na kuongea nao wamsaidie kumaliza tatizo hili. Au muda mwingi anautumia kwa madaktari wake? Lakini aliweza kuonana na akina Bill Gates, Hasheem Thabiti na yule mchekeshaji! HATUMSAIDII RAIS WETU.
 
umeme hakuna,pesa zimeliwa na mgawo kwenda mbele bado mnaleta spin zenu humu...kweli stupidity haina tiba!
 
Zitto is a champion on this issue.
After being given technicalities of buying,transportation and installation of new machines he realized that,no way can new machines be bought and operate in time before the country be in DARK.
It could be wise to buy those for emergence while procedures are made to tackle the problem once and for all.
"Strong man is the one who stands alone". Zitto you're the one.

...mawazo kama haya mtakaa gizani milele!
 
Mh Zitto, nianze kwa kukiri mimi nilikuwa miongoni mwa wana JF wengi tuliokuzonga kwa kejeri, shutma, kashfa na dhihaka kadha wa kadha kuhusiana na msimamo wako kwenye suala zima la ununuzi wa mitambo ya Dowans.

Mheshimiwa, ulikuwa sahihi kwa kusimamia kile unachoamini ni sahihi. Hii ndio sifa adimu ya kiongozi. Naamini hata wewe mwenyewe ulijua toka mwanzo kuwa uamuzi wako wa kutetea ununuzi wa mitambo ile hautakuwa popular na pengine ni kitanzi cha kisiasa. Lakini kwa ujasiri usiomithilika uliendelea kujenga hoja na wengi tulitia pamba masikioni mwetu na kukuita majina mabaya lukuki. Binafsi nilikwenda mbali zaidi na kukuita fisadi. Hili ndilo limenisukuma kuandika waraka huu mfupi ili kukuomba msamaha kwa maandishi yote machafu juu yako. Naamini tupo wengi wa aina hii lakini wenzangu wanakosa uthubutu wa kukiri na wanajichimbia kwenye keyboard zao.

Taifa leo lipo latika kiza, kwa sababu ya watu wachache waliokataa ushauri wa wataalam. Wale "wapiganaji" wanaona soni nyuso zimewashuka wanatapatapa kutafuta justification ya uamuzi wao mbovu ambao umeligharimu na utaendelea kuligharimu taifa kwa hasara kubwa.

Mheshimiwa watani zangu wazaramo wana msemo ufuatao "akutukanae kilabu cha pombe usisubiri kesho yake na wewe mrudishie matusi yake huko huko kilabu cha pombe" Kwa kuwa kashfa nilizitoa hapa JF nalazimika kuomba msamaha hapa hapa JF na ni matumaini yangu utanisamehe.

Nimalizie kwa kukiri na kusema kuwa Mh, wewe ni hazina ya taifa hili. Kama kiongozi vision yako ni kubwa kuliko umri wako. Pamoja na kuwa wanasiasa wanaepuka sana kujiingiza katika masuala tata kwa kuchelea kushusha credibility zao wewe umeweka utanzania wako mbele bila kuogopa kupoteza umaarufu wako wa kisiasa and spot on, you got it right.

Bravo Mh Zitto na endelea na misimamo yako thabithi yenye manufaa kwa taifa letu.

Mheshimiwa naomba kuwasilisha

Masatu,
Kwa suala la kununua mitambo ya Dowans Zitto alichemsha na wewe hata huku kuomba msamaha na kumtetea nawe pia unachemsha
 
nilidhani ni thread nzuri kuisoma kumbe lol!hamna kitu kabisa
 
It could be wise to buy those for emergence while procedures are made to tackle the problem once and for all.
"Strong man is the one who stands alone". Zitto you're the one.
Mkuu this is the Old story....we had since Kikwete came to power.. Emergence power supply was FOUR years back don't skip the count..Then again it's not about the problem neglected for years, it's about the importance of creativity for sustained economic growth.
Kiza kiza imekuwa nongwa kiasi kwamba mnasahau kwamba emergence ilikuwepo toka 2006 hatukufanya kitu na Mungu akasaidia mabwawa yakajaa maji...waafrika kama tulivyo tukasahau matatizo ya umeme. All the time knowing the population was growing at 3% yearly and there's no slow down in sight. Second, Industrial revolution has brought us shitload of economic activities All of which ofcourse relies on massive electrisity use, not to mention the problems that comes with it.
For F... 4 yrs we have done NOTHING! - nothing other than urgue on 100Mw of Dowans generator was/is the appropriate solution to problem occured four years back! are we stupid or what!
Why is it that we act only when we face a problem?. Sympathizing with garbage feed work while we never had a smooth ride..besides all the country is creaking in our face under the weight of economic activities. ..
When are we gonna stand up and fight for what we think is the best for our country - Damn!
 
Mh Zitto, nianze kwa kukiri mimi nilikuwa miongoni mwa wana JF wengi tuliokuzonga kwa kejeri, shutma, kashfa na dhihaka kadha wa kadha kuhusiana na msimamo wako kwenye suala zima la ununuzi wa mitambo ya Dowans.

Mheshimiwa, ulikuwa sahihi kwa kusimamia kile unachoamini ni sahihi. Hii ndio sifa adimu ya kiongozi. Naamini hata wewe mwenyewe ulijua toka mwanzo kuwa uamuzi wako wa kutetea ununuzi wa mitambo ile hautakuwa popular na pengine ni kitanzi cha kisiasa. Lakini kwa ujasiri usiomithilika uliendelea kujenga hoja na wengi tulitia pamba masikioni mwetu na kukuita majina mabaya lukuki. Binafsi nilikwenda mbali zaidi na kukuita fisadi. Hili ndilo limenisukuma kuandika waraka huu mfupi ili kukuomba msamaha kwa maandishi yote machafu juu yako. Naamini tupo wengi wa aina hii lakini wenzangu wanakosa uthubutu wa kukiri na wanajichimbia kwenye keyboard zao.

Taifa leo lipo latika kiza, kwa sababu ya watu wachache waliokataa ushauri wa wataalam. Wale "wapiganaji" wanaona soni nyuso zimewashuka wanatapatapa kutafuta justification ya uamuzi wao mbovu ambao umeligharimu na utaendelea kuligharimu taifa kwa hasara kubwa.

Mheshimiwa watani zangu wazaramo wana msemo ufuatao "akutukanae kilabu cha pombe usisubiri kesho yake na wewe mrudishie matusi yake huko huko kilabu cha pombe" Kwa kuwa kashfa nilizitoa hapa JF nalazimika kuomba msamaha hapa hapa JF na ni matumaini yangu utanisamehe.

Nimalizie kwa kukiri na kusema kuwa Mh, wewe ni hazina ya taifa hili. Kama kiongozi vision yako ni kubwa kuliko umri wako. Pamoja na kuwa wanasiasa wanaepuka sana kujiingiza katika masuala tata kwa kuchelea kushusha credibility zao wewe umeweka utanzania wako mbele bila kuogopa kupoteza umaarufu wako wa kisiasa and spot on, you got it right.

Bravo Mh Zitto na endelea na misimamo yako thabithi yenye manufaa kwa taifa letu.

Mheshimiwa naomba kuwasilisha

Ni jambo la bahati mbaya sana kwamba, ndani ya Chadema anaungwa mkono na vijana wajinga wajinga wa CCM.
 
JK anakwenda Marekani mara kwa mara. Huko ndiko yaliko makampuni mazito kabisa yanayounda haya majenereta ya kuzalisha umeme. Ameshindwaje kuomba ayatembelee na kuongea nao wamsaidie kumaliza tatizo hili. Au muda mwingi anautumia kwa madaktari wake? Lakini aliweza kuonana na akina Bill Gates, Hasheem Thabiti na yule mchekeshaji! HATUMSAIDII RAIS WETU.
Umeanza na arguments nzuri tu, ila kwa jinsi ya wewe kutaka JK aonekane msafi, umeamua kuchukua/kuyabeba makosa yake. Well, jisemee nafsi yako kuwa humsaidii raisi na sio sisi wote.
 
Zitto is a champion on this issue.
After being given technicalities of buying,transportation and installation of new machines he realized that,no way can new machines be bought and operate in time before the country be in DARK.
It could be wise to buy those for emergence while procedures are made to tackle the problem once and for all.
"Strong man is the one who stands alone". Zitto you're the one.

So, the end justifies the means? Kaazi kweli kweli.
 
Hahahahah,

Yaani Zitto atakuwa mtu wa ajabu kusikiliza porojo kama hizo. Hata nikibaki peke yangu, sitasita kusema kuwa Zitto hakuwa sahihi katika ushauri wake kwamba tumwage pesa nyingine kuwalipa wezi (DOWANS a.k.a Richmond). Na kama ni kulipa fadhira basi aendelee na kampeni zake! Dowans ni wizi hata ikibidi kukaa gizani hadi JK aondoke madarakani ni poa tu! Wasitufanye wajinga. Ipo siku siri iliyojificha ya Zitto kuwa kipenzi cha watawala na CCM kwenye hili suala la Dowans itafichuka. Nitabki Tomaso milele!

Mkuu Dark City Heshima mbele.

Katika issue kama hii kamwe huwezi kubaki peke yako mkuu tuko wengi sana tutakao kuunga mkono.Wapo watu wanaotaka kutumia tatizo la kujipangia kuhalalisha ununuzi wa mitambo chakavu inayomilikiwa na wezi kwa bei kubwa.

Tanesco & serekali walikuwa na muda wa kutosha kununua mitambo mipya.Bila shaka Zitto & mafisadi wamefurahia tatizo pengine wakidhani tumesahau kwamba Dowans ni mjukuu wa Richadmonduli.
 
Nimesoma gazeti Dr. Rashid akisema Dowans imezikwa. Nadhani hii kitu imekwisha ila wanarudi kama kinyonga hawa watu na kusumbua vichwa vya watu.

Cha kujiuliza ile mitambo ipo pale je itaenda wapi?? Lazima hawa watasumbua kila kukicha kwa visingizio.
 
Mandela alikaa miaka 27 jela ili kutetea maslahi ya nchi yake, zitto anasema anatetea maslahi ya nchi yake na anaogopa kukaa gizani miezi miwili ,
 
Hongera Masatu wa CCM. Hata kama ni shida ya umeme, kimbilio si mitambo ya mtumba, chakavuu ya Dowans. Kanuni za manunuzi ya serikali ni kukunua chombo kipya na si kilichotumika. Wao walitaka wanunue mitambo ya Dowans ambayo ni ile ya Rich wa Monduli ilibadilika tu jina!!!??? Tuache usanii. Kama Zito aliona hilo basi na alitakiwa asisitize kuwa serikali ifanya mipango ya kununua mitambo mipya na si mitumba.

 
Hahahahah,

Yaani Zitto atakuwa mtu wa ajabu kusikiliza porojo kama hizo. Hata nikibaki peke yangu, sitasita kusema kuwa Zitto hakuwa sahihi katika ushauri wake kwamba tumwage pesa nyingine kuwalipa wezi (DOWANS a.k.a Richmond). Na kama ni kulipa fadhira basi aendelee na kampeni zake! Dowans ni wizi hata ikibidi kukaa gizani hadi JK aondoke madarakani ni poa tu! Wasitufanye wajinga. Ipo siku siri iliyojificha ya Zitto kuwa kipenzi cha watawala na CCM kwenye hili suala la Dowans itafichuka. Nitabki Tomaso milele!


DARK CITY LABDA TUBAKI WAWILI HATA MIMI NAKUUNGA MKONO ZITTO HAKUWA SAHIHI. hATUWEZI KUVUNJA SHERI A ZA MANUNUZI KWA KUNUNUA MITAMBO CHAKAVU. pIA KUNUNUA MITAMBO AMBAYO MUSTAKABALI WAKE MPAKA SASA HAUJULIKANI. kUNA SWALI LIMEULIZWA WATU WOOOTE WANAIKANA DOWANS, JE HELA HII ATALIPWA NANI? OFISIS ZAO ZIKO WAPI? KAMA NI CHAKAVU KWA NINI IUZWE BEI KARIBU MARA 2 YA KUAGIZA MIPYA.

MIMI KWANGU NI AFADHALI MGAO KULIKO KUNUNUA DOWANS
 
Mandela alikaa miaka 27 jela ili kutetea maslahi ya nchi yake, zitto anasema anatetea maslahi ya nchi yake na anaogopa kukaa gizani miezi miwili ,


MASLAHI YA TAIFA KWA KUPATA HASARA YA KARIBU SHS BILIONI 20 KULINGANISHA NA KUAGIZA MINGINE. zITTO ATUAMBIE BILIONI 20 ZINAWEZA KUJENGA SHULE AU HOSPITALI NGAPI? HAJUI HII NI HELA YA WAVUJA JASHO.

MTOA HOJA AFUTE USEMI
 
Back
Top Bottom