johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,984
- 142,001
Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo kapotezwa kabisa katika ramani ya Siasa baada ya Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe kuingia kwenye Maridhiano na CCM
Kwa sasa ACT Wazalendo wako Pemba tu na jana nimemuona Abdul Nondo anaomba ujamaa na RC DSM mh Albert Chalamila
Mlale Unono!
Kwa sasa ACT Wazalendo wako Pemba tu na jana nimemuona Abdul Nondo anaomba ujamaa na RC DSM mh Albert Chalamila
Mlale Unono!