Kumpenda mtu asiyekupenda inatesa sana!

Kumpenda mtu asiyekupenda inatesa sana!

Yaani haya mapenzi ni ya ajabu sana, kuna mtu nampenda sana ..kwakuwa anajua nampenda basi ndiyo ananinyanyasa kweli..

Nimekuwa mtu wa kulia tu...

Jana nimemkuta na msichana mwngine tena nahisi atakuwa bado mwanafunzi nikajifanya sijaona nikageuza haraka na kurudi home, nikijua atarudi home tuyaongee lkn mpaka hivi ninavyoandika hajarudi tangu tuonane ile Jana.

Nikipiga simu haipokelewi..nateseka sana jamani....msaada please ila mapenzi yanaumiza sana..
Kama una tako na sura nzuri njoo kwangu upesi nikupe buasati za hubani. Achana na huyo dogo hajui mapenzi ni nini
 
Hahaha "Time to exhale" mkuu huenda ulimkuta mwanadada
akiwa na mafasturesheni ya bf wake bw.mtembezaji rungu!
Hata wewe unalia lia kumbe ni bingwa wa kuwashushua watu.

ulinishushua kwenye uzi wangu, sasa nasema kama hakujali nunua kamba ya kufungia mbuzi, andika wosia kisha jinyonge tuu ataelewa kuwa ulikuwa unaumia
 
Maybe God wants us to meet a few wrong people so that when we finally meet the right ones we will know how to be grateful for that gift
 
Back
Top Bottom