jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,886
- 16,585
Teh teh mbavu zangu mie mkuuKICHWA CHA THREAD HAPO JUU CHAHUSIKA
Btw uko poa?
Teh teh mbavu zangu mie mkuuKICHWA CHA THREAD HAPO JUU CHAHUSIKA
NIKO POA, MNUNIO HUO VIPITeh teh mbavu zangu mie mkuu
Btw uko poa?
Nashangaa maana sio kwa ukimya huu bbyshemNIKO POA, MNUNIO HUO VIPI
endelea kushangaa wakati umejitakia maksudiNashangaa maana sio kwa ukimya huu bbyshem
Chamehe mm basiendelea kushangaa wakati umejitakia maksudi
Poa, yes shemela na nilimwambia akusalimie pia..,hope zilifika
Zimechelewa kufika.Poa, yes shemela na nilimwambia akusalimie pia..,hope zilifika
Woow nahis baada ya tare 14 tutaanza kupanga tarehe 19 tuende wapi...Zimechelewa kufika.
Hope zipo njiani zinakuja fasta[emoji23][emoji23]
-natumaini uko poa weekend imeanza vizuri
-Tupo feb sasa hope maandalizi yameshakamilika (remind you feb 19 ipo karibu saanaa)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mr bodyguard nitakuwepoWoow nahis baada ya tare 14 tutaanza kupanga tarehe 19 tuende wapi...
Acha nianze kuweka akiba kila siku spesho kwa ajili ya 19
Tx my shemela
yaan tupo Wengi San Mimi yaan Nataka nimuoe lakin anielew yaan yupo bize mda wote naomba mungu anisaidie nifike salama hii safariHeri ww Dada yangu Mimi hapa na mwezi apokei cm wala kunijibu text huyuu mwanamke kanifanya niwe chizi kazini.ila nimeapa mwanamke ataisoma namba kwenye maisha yangu. Nimetoka job nimeingia kulala.Eee Mungu anisaidie nivuke hili Salama.
okay be freeChamehe mm basi
True but pia inauma kumpenda mwenye amuelewani,na mean in terms of languge i tried one,from Ltk but ni Tanzanian hatukuwa tunaelewana nikiongea haelewi akiongea sielewi so hadi kumkatia ikakua hard,had to call it a quit[emoji1] [emoji1]Yaani haya mapenzi ni ya ajabu sana, kuna mtu nampenda sana ..kwakuwa anajua nampenda basi ndiyo ananinyanyasa kweli..
Nimekuwa mtu wa kulia tu...
Jana nimemkuta na msichana mwngine tena nahisi atakuwa bado mwanafunzi nikajifanya sijaona nikageuza haraka na kurudi home, nikijua atarudi home tuyaongee lkn mpaka hivi ninavyoandika hajarudi tangu tuonane ile Jana.
Nikipiga simu haipokelewi..nateseka sana jamani....msaada please ila mapenzi yanaumiza sana..
Haha hapo umeongea ka Otile brownWengi tuna tabia ya kulazimisha kumpenda asiekupenda. Anaekupenda humtaki, kinachotokea una kuwa Mtumwa Wa Mapenzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani haya mapenzi ni ya ajabu sana, kuna mtu nampenda sana ..kwakuwa anajua nampenda basi ndiyo ananinyanyasa kweli..
Nimekuwa mtu wa kulia tu...
Jana nimemkuta na msichana mwngine tena nahisi atakuwa bado mwanafunzi nikajifanya sijaona nikageuza haraka na kurudi home, nikijua atarudi home tuyaongee lkn mpaka hivi ninavyoandika hajarudi tangu tuonane ile Jana.
Nikipiga simu haipokelewi..nateseka sana jamani....msaada please ila mapenzi yanaumiza sana..
Hapo ndo nazid kukuaminia...ila usichunge sana si unajua tena?
Santeeeokay be free