Kumpenda mtu asiyekupenda inatesa sana!

Kumpenda mtu asiyekupenda inatesa sana!

Hapo utakufa wewe umuache yeye

Sent from my SM-J530F using Tapatalk
 
Yani wew kaza moyo achana nae utakuja kutoa ushuhuda..watu tumeumizwa Zaid ya apo mpaka tukatafuta washaur kwa kuwalipa..ili mradi tu mtu uwe sawa...I believe u can ni maamuzi..yani mm moyo wangu ushakufaga ganzi ck nyng yani kwakweli cjui mtu anifanyie nn ndo nione cha Ajabu...mtu unajua kabisaa hakupendi lkn nlikuwa namwomba japo a pretend tu moyo ukikaa sawa ntakubali taratibuu..weeee wanaume Hawa🙌🙌🙌
Sio wanaume tu hata nyie pia nilikuwa naomba hata anidanganye tu yule mwanamke. Sasa hivi nimeweza kuwa imara.
 
Umenena vema. Kwa mine kama ugonjwa basi nilikuwa ICU napumilia mshine kisa kupenda. Kila ishara ya kutopendwa ilikuwa wazi kwangu. Nilikonda,nilichoka kifupi niliisha. Namshukuru Mungu nimepata nguvu ya ajabu mmno. Nimefanikiwa kujivua utumwa Huo Kiana na kumove na plan B. Inataka ujasiri Kweli kweli na self determination /commitment..
Sasa nawachora tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani haya mapenzi ni ya ajabu sana, kuna mtu nampenda sana ..kwakuwa anajua nampenda basi ndiyo ananinyanyasa kweli..

Nimekuwa mtu wa kulia tu...

Jana nimemkuta na msichana mwngine tena nahisi atakuwa bado mwanafunzi nikajifanya sijaona nikageuza haraka na kurudi home, nikijua atarudi home tuyaongee lkn mpaka hivi ninavyoandika hajarudi tangu tuonane ile Jana.

Nikipiga simu haipokelewi..nateseka sana jamani....msaada please ila mapenzi yanaumiza sana..
Unajitesa bure tuu. Mwanamke akimpenda kupitiliza mwanamume.... Mara nyingi hayo Mahusiano hayaishii kwenye Ndoa. Subiri upendwe mremboooo..... Mwanamume ni wa kumheshimu na kaupendo kiasi.... Sio ule Upendo wa kupitiliza kiasi hicho. Utanielewa baadae sana.
 
Mchomoe huko moyoni ulipomweka. He doesn't deserve it. Chomoa tupa Kule kwenye Michongoma..... Endelea na maisha yako matamu. Be positive. Be Determined. Life is Beautiful Indeed 😂😂

Yaani kuweza naweza japo nilimuweka moyoni sana[/QUOTE
 
Yaani haya mapenzi ni ya ajabu sana, kuna mtu nampenda sana ..kwakuwa anajua nampenda basi ndiyo ananinyanyasa kweli..

Nimekuwa mtu wa kulia tu...

Jana nimemkuta na msichana mwngine tena nahisi atakuwa bado mwanafunzi nikajifanya sijaona nikageuza haraka na kurudi home, nikijua atarudi home tuyaongee lkn mpaka hivi ninavyoandika hajarudi tangu tuonane ile Jana.

Nikipiga simu haipokelewi..nateseka sana jamani....msaada please ila mapenzi yanaumiza sana..
Aisee kabisaaa,mh!,kuna wakati ukiumizwa sana ukikinai utaacha tu kuumia na kupenda kizembe zembe hivyo

Kisa cha kujitesa?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenena vema. Kwa mine kama ugonjwa basi nilikuwa ICU napumilia mshine kisa kupenda. Kila ishara ya kutopendwa ilikuwa wazi kwangu. Nilikonda,nilichoka kifupi niliisha. Namshukuru Mungu nimepata nguvu ya ajabu mmno. Nimefanikiwa kujivua utumwa Huo Kiana na kumove na plan B. Inataka ujasiri Kweli kweli na self determination /commitment..
Sasa nawachora tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Aseeeeee....kinywa changu kimebaki wazi[emoji1781][emoji1781][emoji1781]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani haya mapenzi ni ya ajabu sana, kuna mtu nampenda sana ..kwakuwa anajua nampenda basi ndiyo ananinyanyasa kweli..

Nimekuwa mtu wa kulia tu...

Jana nimemkuta na msichana mwngine tena nahisi atakuwa bado mwanafunzi nikajifanya sijaona nikageuza haraka na kurudi home, nikijua atarudi home tuyaongee lkn mpaka hivi ninavyoandika hajarudi tangu tuonane ile Jana.

Nikipiga simu haipokelewi..nateseka sana jamani....msaada please ila mapenzi yanaumiza sana..
Daah,tatizo lako linafanana na langu,mimi pia nafanyiwa hivyo na girl wangu,unaonaje tukienda chemba tukayajenge kupunguza maumivu yetu?..
 
Mapenzi mmi cna hamu nayo kabisaaaaa.....kwanza yamenibadilisha sana...yamenifnya niwe kiumbe wa ajabu sana...yani sahv nkiwa na hamu zangu kama nina mtu pass time haya kama sina basi yani simweki mtu moyoni maana moyo wangu ushakuwaga uwanja wa mafunzo[emoji3][emoji3]
Duuh pole aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mapenzi mmi cna hamu nayo kabisaaaaa.....kwanza yamenibadilisha sana...yamenifnya niwe kiumbe wa ajabu sana...yani sahv nkiwa na hamu zangu kama nina mtu pass time haya kama sina basi yani simweki mtu moyoni maana moyo wangu ushakuwaga uwanja wa mafunzo[emoji3][emoji3]
Ibuka pm

From profile picture to proper future
 
Yaani haya mapenzi ni ya ajabu sana, kuna mtu nampenda sana ..kwakuwa anajua nampenda basi ndiyo ananinyanyasa kweli..

Nimekuwa mtu wa kulia tu...

Jana nimemkuta na msichana mwngine tena nahisi atakuwa bado mwanafunzi nikajifanya sijaona nikageuza haraka na kurudi home, nikijua atarudi home tuyaongee lkn mpaka hivi ninavyoandika hajarudi tangu tuonane ile Jana.

Nikipiga simu haipokelewi..nateseka sana jamani....msaada please ila mapenzi yanaumiza sana..
Kumvumilia mtu anayeonesha hakupendi sio uvumilivu ni ujinga, ww jitoe japo si rahisi lakini ushinde moyo utakaa sawa ndan ya wk utakuwa na afadhali jinsi siku zinavyoendelea hali itakuwa shwari na furaha itarudi ww sio wa kwanza wenzie tulisha pitia tulitamani kujiuwa halafu ukishapita kwenye jaribu hilo hata ikija jirudia hautoumia kama zamani na usihunike sana anakufunza mengi ili mpenz mpya utakaye mpata ujue uishe naye vp

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom