Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,494
- 21,453
You have to let him go,
nitafute kwa muda wako nikupe tiba.
nitafute kwa muda wako nikupe tiba.
Inawezekana na wewe ulimtesa mtu siku za nyuma,malipo ni humu humu duniani,lakini kama anakuonea tu bure kuna siku mungu atakupa anayekupenda kweli.Ushauri wangu wa mwisho,Mpende anayekupenda,asiyekupenda achana naye.There is someone out there who truly loves you but you are ignoring him,give him a chance na maisha yatakuwa ya furaha.Furaha inaanzia kwako.Its about time we leave other people and make ourselves happy.Furaha ya watu wengine sio yetu!Yaani haya mapenzi ni ya ajabu sana, kuna mtu nampenda sana ..kwakuwa anajua nampenda basi ndiyo ananinyanyasa kweli..
Nimekuwa mtu wa kulia tu...
Jana nimemkuta na msichana mwngine tena nahisi atakuwa bado mwanafunzi nikajifanya sijaona nikageuza haraka na kurudi home, nikijua atarudi home tuyaongee lkn mpaka hivi ninavyoandika hajarudi tangu tuonane ile Jana.
Nikipiga simu haipokelewi..nateseka sana jamani....msaada please ila mapenzi yanaumiza sana..
Nachojua inawezekana MUNGU anakuandalia sehemu sahihi, na amekupitisha njia mbaya ili siku akikupitisha njia sahihi utulie maana fundisho unalo tiyariHapo umenena vyema
Mapenzi hayaumizi,watu wanaumiza.Kupenda usipopendwa panaumiza.Tafakari!Yaani haya mapenzi ni ya ajabu sana, kuna mtu nampenda sana ..kwakuwa anajua nampenda basi ndiyo ananinyanyasa kweli..
Nimekuwa mtu wa kulia tu...
Jana nimemkuta na msichana mwngine tena nahisi atakuwa bado mwanafunzi nikajifanya sijaona nikageuza haraka na kurudi home, nikijua atarudi home tuyaongee lkn mpaka hivi ninavyoandika hajarudi tangu tuonane ile Jana.
Nikipiga simu haipokelewi..nateseka sana jamani....msaada please ila mapenzi yanaumiza sana..
Nikupe Wa Kukuoa ?Yaani kuweza naweza japo nilimuweka moyoni sana
Ni vijimapito vya kijitakia bila shaka
Unasubiri akwambie hakutaki ndio uelewe?
Hii thread angekuwa ameanzisha mwanaume isingefika hata page 2 ila kwa ke itsfika hata page 10
Nimejikuta nacheka tu mkuu! Pole kwa kushushuliwa unategemea ulikujaje
Jina tamu sana hili! Majina ya sisi wahengahahahahh we nawe!hamia jinsia yetu bathi! hilo jina lako baba angu anawaitaga wajukuu zake 'ngwana kilambalambila! huwa nacheka!
duuu ,natamani ningekuwa mie maana sijawahi pata wa kuniweka moyoni zaidi ya mdomoni tuYaani kuweza naweza japo nilimuweka moyoni sana