supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,969
Sawa, kama ndo unavyotaka[emoji23][emoji23][emoji23]Hapo ndo nazid kukuaminia...ila usichunge sana si unajua tena?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa, kama ndo unavyotaka[emoji23][emoji23][emoji23]Hapo ndo nazid kukuaminia...ila usichunge sana si unajua tena?
Good bodyguard
Kama hujamuoa anakuendesha hivo si zaidi akiwa ndaniyaan tupo Wengi San Mimi yaan Nataka nimuoe lakin anielew yaan yupo bize mda wote naomba mungu anisaidie nifike salama hii safari
Sent using Jamii Forums mobile app
I LOVE YOUSanteee
unammaliza wa nini si bora umuache aende zake? kufanya hivyo ni kupungukiwa na busara...Muache Mungu mwenyewe adili naye usije beba madhambi ya bure.mi mwenyewe kuna mwanamke kanibadilikia natamani nimuendee hata kwa mganga nimmalize tu kwa hasara alizonipa
MWAAAAHwoow, asante shemela
i do as well
Kavu sana hii kudadekiiHata wewe huenda kuna mtu anakupenda ila wewe humpendi, hayo ni mambo ya kawaida..