Kumpenda mtu asiyekupenda inatesa sana!

Kumpenda mtu asiyekupenda inatesa sana!

Ni vijimapito vya kijitakia bila shaka
Hapana ... Itafika kipindi utaona kawaida tu we fanya yako usimuweke akilini japo najua ni ngumu kwa mwanzo alafu jaribu kujichanganya na rafiki zako angalau usikae peke ako maana utawaza na kuwazua mwishoe upate hata vidonda vya tumbo
 
Hata wewe unalia lia kumbe ni bingwa wa kuwashushua watu.

ulinishushua kwenye uzi wangu, sasa nasema kama hakujali nunua kamba ya kufungia mbuzi, andika wosia kisha jinyonge tuu ataelewa kuwa ulikuwa unaumia
 
Hata wewe unalia lia kumbe ni bingwa wa kuwashushua watu.

ulinishushua kwenye uzi wangu, sasa nasema kama hakujali nunua kamba ya kufungia mbuzi, andika wosia kisha jinyonge tuu ataelewa kuwa ulikuwa unaumia
Nimejikuta nacheka tu mkuu! Pole kwa kushushuliwa unategemea ulikujaje
 
Back
Top Bottom