Kumpenda mtu asiyekupenda inatesa sana!

Kumpenda mtu asiyekupenda inatesa sana!

Mapenzi mmi cna hamu nayo kabisaaaaa.....kwanza yamenibadilisha sana...yamenifnya niwe kiumbe wa ajabu sana...yani sahv nkiwa na hamu zangu kama nina mtu pass time haya kama sina basi yani simweki mtu moyoni maana moyo wangu ushakuwaga uwanja wa mafunzo😀😀
 
Aisee watu mnavyoshauri waachane daaaah...ila ndo shida ya kizazi cha leo hayo maswala bada ya kukaa na mwenzio mzungumze unakimbilia kwenye social media...mi nafikiri mngeulizana wawili na akwambie nini ambacho kimepungua kwako anakifata kwa huyo mwengine....inawezekana unampenda lakini kuna vitu unakosea...humu washauri tupo wengi utajazwa upepo mwisho wa siku utachukua maamuzi ambayo yatagharimu mahusiano yako..so ni vyema kuwa smart katika hili.Zaidi sana pole kwa yote yaliyokukuta mwombe Mungu kwa imani yako na zungumza na mwenzio kupata ufumbuzi wa hilo
Sasa wazungumze nini apo...mtu kamkuta na Kademu basi sawa let's say ni rafiki basi anapigiwa cm japo wayaongee hapokei unataka dada wa watu akaopoe magonjwa ya moyo kisa...ukijfnya innocent sana ndo mwenzio anakudidimiza jaribu kuelewa situation anyoptia now ndo umshaur...hatumshaur aachan naye kwa ubaya apana ila kulingan na situation aliyonyo mwenzie
 
Yaani haya mapenzi ni ya ajabu sana, kuna mtu nampenda sana ..kwakuwa anajua nampenda basi ndiyo ananinyanyasa kweli..

Nimekuwa mtu wa kulia tu...

Jana nimemkuta na msichana mwngine tena nahisi atakuwa bado mwanafunzi nikajifanya sijaona nikageuza haraka na kurudi home, nikijua atarudi home tuyaongee lkn mpaka hivi ninavyoandika hajarudi tangu tuonane ile Jana.

Nikipiga simu haipokelewi..nateseka sana jamani....msaada please ila mapenzi yanaumiza sana..
Nipende Mimi basi madam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naelewa kupenda aisee ni sawa kuwa addicted na dawa za kulevya yani ngumu kumuacha unayempenda hata kama ukweli unaujua
Yani mtu unakuta ukweli lakini bado unamshkilia tu..yani mimi nlijua sipendwi lkn bado namwomba japo anidanganye...nashukuru mungu nlisahau jamni ndo maana ctk kuingia kwny mahusiaon serious..mweeeh yani naogopa wanaume vibya mnoo
 
Yaani haya mapenzi ni ya ajabu sana, kuna mtu nampenda sana ..kwakuwa anajua nampenda basi ndiyo ananinyanyasa kweli..

Nimekuwa mtu wa kulia tu...

Jana nimemkuta na msichana mwngine tena nahisi atakuwa bado mwanafunzi nikajifanya sijaona nikageuza haraka na kurudi home, nikijua atarudi home tuyaongee lkn mpaka hivi ninavyoandika hajarudi tangu tuonane ile Jana.

Nikipiga simu haipokelewi..nateseka sana jamani....msaada please ila mapenzi yanaumiza sana..
Njoo PM usisumbuke kama umesoma physics kuna law inasema for every action there is an equal and opposite reaction. Karibu nikushauri kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani wew kaza moyo achana nae utakuja kutoa ushuhuda..watu tumeumizwa Zaid ya apo mpaka tukatafuta washaur kwa kuwalipa..ili mradi tu mtu uwe sawa...I believe u can ni maamuzi..yani mm moyo wangu ushakufaga ganzi ck nyng yani kwakweli cjui mtu anifanyie nn ndo nione cha Ajabu...mtu unajua kabisaa hakupendi lkn nlikuwa namwomba japo a pretend tu moyo ukikaa sawa ntakubali taratibuu..weeee wanaume Hawa🙌🙌🙌
Nafikiria vile uliumia ni kiasi gani lakin na wanawake ndio hivyo hivyo nakumbuka miaka ya nyuma hapo ulinibidi kusubscribe kupata email kila siku za nini chakufanya nilikuta huko google jamaa anaitwa Kevin Thompson alinitreat vizuri sana ila inahitaji moyo mgum jamaa anakwambia hakuna kuwasiliana na mtu wako kwa njia yoyote ile na wakati huo unatamani umpgie hata akudanganye tu halaf ukiwa poa aende zake lakin wapi
 
Nafikiria vile uliumia ni kiasi gani lakin na wanawake ndio hivyo hivyo nakumbuka miaka ya nyuma hapo ulinibidi kusubscribe kupata email kila siku za nini chakufanya nilikuta huko google jamaa anaitwa Kevin Thompson alinitreat vizuri sana ila inahitaji moyo mgum jamaa anakwambia hakuna kuwasiliana na mtu wako kwa njia yoyote ile na wakati huo unatamani umpgie hata akudanganye tu halaf ukiwa poa aende zake lakin wapi
Yeah unaambiwa principle kubwa ni kukata mawasiliano which is very hard yani unaweza ukahisi anayekushaur hakutakii mema kumbe ni moyo jamn...mm nkawa namwona mshaur mwongo nkamftlia mbali nkanjitia kurudi tena kwa mupenzi weeee nlirud kwa yule mshaur nataka kufaa..bhana bhnaaaa haya mambo leo nimeyasahau sidhani kama ntarudia tena..nkiona mtu kapenda nasisimkaa yaan...a
 
Nafikiria vile uliumia ni kiasi gani lakin na wanawake ndio hivyo hivyo nakumbuka miaka ya nyuma hapo ulinibidi kusubscribe kupata email kila siku za nini chakufanya nilikuta huko google jamaa anaitwa Kevin Thompson alinitreat vizuri sana ila inahitaji moyo mgum jamaa anakwambia hakuna kuwasiliana na mtu wako kwa njia yoyote ile na wakati huo unatamani umpgie hata akudanganye tu halaf ukiwa poa aende zake lakin wapi
Yani nimekuwa na moyo mgumu Israel akasomee,,,ata mwanaume aniambie NN sielew kitu..naishia kupteza nae muda tu naachana nae...nimeshndwa kupenda kabisa mungu anisaidie
 
Yeah unaambiwa principle kubwa ni kukata mawasiliano which is very hard yani unaweza ukahisi anayekushaur hakutakii mema kumbe ni moyo jamn...mm nkawa namwona mshaur mwongo nkamftlia mbali nkanjitia kurudi tena kwa mupenzi weeee nlirud kwa yule mshaur nataka kufaa..bhana bhnaaaa haya mambo leo nimeyasahau sidhani kama ntarudia tena..nkiona mtu kapenda nasisimkaa yaan...a
Ndivyo ilivyo addiction ya kupenda ujinga jweli yani kama addiction ya bangi au pombe
 
Back
Top Bottom