Kumjua mwanamke aliewahi kutoa mimba

Kumjua mwanamke aliewahi kutoa mimba

hahahaaaa umenifurahisha kwel kwel.
ila mpaka mimba ikatolewe ushaonekana ni makala kala
 
Bora tu uingizwe mjini uchangamke make unaonekana ni mgoloko mgoloko
Comments zako huwa zinanipa raha sana kiasi cha kutamani nikuone live. Huwa ziko short zilizobeba ujumbe mzito kweli!. Big up!
 
Kuna watu wengine mna matatizo au mnapenda kuwa na matatizo, wewe mahusiano umeanza leo unayatafuta ya nyuma ya nini? We ukimpata mpenzi mfunge mkataba kuanza sasa iwe moj mbili tatu kwishnee. Hayo ya zamani alikuwa si wako hayakuhusu. Ndio maana migogoro inakuwa haishi watu kutaka kupekua mambo ya kujinga. Je na wewe akitaka kujua kama zamani ulimtia mtu mimba ukakataa tunafanyaje?
 
Hii ni sawa na kuuliza au kuangalia barabara ya lami na kusema leo magari mangapi yamepita hapa 😵😵
 
Mbona rahisi sana, ukiweza kumtambua aliyepiga nyeto siku za nyuma alivyo na huyo binti aliyetoa mimba siku za nyuma atakuwa hivyo hivyo Mkuu!!
 
Inategemea umri wa mimba...kama ilikua ni 28 wks kuna kuwa na a lot of physiological changes ktk mwili ila lazima uwe na ka utaalamu ka afya kama nilikonako ndio utagundua...ila kwa mwana mke aliewahi kuzaa full term baby hyo rahisi sana...ila unatafuta nn kamanda ww bokoa amsha popo..
 
hivi ni njia gani unaweza kutumia ili kumtambua mchumba unayetaka kumuowa kama alishawahi kutoa mimba kabla ya kukutana na wewe...?
 
hivi ni njia gani unaweza kutumia ili kumtambua mchumba unayetaka kumuowa kama alishawahi kutoa mimba kabla ya kukutana na wewe...?
anza kujitafakari kwanza weewe hujawahi kumpa mwanamke mimba ukamkana ukisha fanya hivyo ndo utafute ambaye hajawah=i kutoa
 
ngoja waje wahusika mm najua tu aliwahi kuzaa kutoa mimba ni ngum kumeza nisawa na kumjua aliyewahi kupiga puli cna
 
Kama hajakwambia huwezi kujua. Unataka ujue ili iweje?
 
Mambo mengine yaache kama yalivyo..

Kufukua makaburi usijaribu kama una moyo kijiko..
 
Back
Top Bottom