Kumjua mwanamke aliewahi kutoa mimba

Kumjua mwanamke aliewahi kutoa mimba

Hivi ni njia gani unaweza kugundua kuwa mchumba unayetaka kumuowa kama alishawahi kutoa mimba kabla ya kukutana na wewe...?
 
unaweza kumjua kwa kuangalia chuchu zake,sura inakosa nuru nk kama ulishawah kuwa karib na binti ambaye hajazaa unaweza kumgundua ambaye amezaa au kutoa mimba.
 
Mtegeshee, mwambie kwenye ukoo wenu kuna laana mtu atakayeoa mwanamke ambaye alishawahi kutoa mimba kwa makusudi huyo mwanamke atakufa siku ya kufunga ndoa, halafu utamuona atakavyo respond
 
Mbona una wasiwasi na Huyo mchumba ,vip umepata fununu mahal nn, keti nae chin muulize
 
NASKIA PAPUCHI YA MTU ALIETOA MIMBA HUWA INAZUBAA SANA
 
Kama uliyempata sio bikra ww kubali yote Mkuu. kutopata Mtoto hakusababishwi na kutoa mimba peke yake labda kama unalingine
 
Back
Top Bottom