Kumjua mwanamke aliewahi kutoa mimba

Kumjua mwanamke aliewahi kutoa mimba

Kama unawasi wasi na tatizo la uzazi kwa ajili ya utoaji mimba. Kwani wewe ushawahi kusababisha mimba hata kwa mwanamke mmoja? Ujichunguze na wewe kizazi, ili usije kumpa tabu mwenzio kwa kutokuwa na uwezo wa kusababisha mimba.
 
KUJUA MWANAMKE ALIYETOA MIMBA:
UNAANGALIA WEUSI WA ENEO KUZUNGUKA CHUCHU(AREOLAR) SEHEMU HII HUWA YA PINK KAMA AU WEUSI USIO MKALI LAKIN AKIZAA AU KUPATA MIMBA NQ KUTOA SEHEMU HIYO HUWA NYEUSI ZAIDIIIII!!!!!!NA KUWA NA KM VIPELE FULANI.
PIA MSTARI MWEUSI SEHEMU YA TUMBO CHINI YA KITOVU KUONEKANA ZAIDI MWEUSI::!!
 
Dalili ya mkosefu ni wasiwasi, jazba au kujistukia.

Hawa wa jinsia ya KE wanaofura na kutokwa povu wananipa mashaka.

Aidha, Nalazimika kuamini Kuwa wao pengine ni 'Wacholopoaji wazuri'.
 
hahaha! mkuu mwanamke angalia tabia yake ya sasa.... ukiangalia past then hakuna msafi hata wewe mwenyewe .... chagua chagua sana mwisho utaangukia sipo
 
KUJUA MWANAMKE ALIYETOA MIMBA:
UNAANGALIA WEUSI WA ENEO KUZUNGUKA CHUCHU(AREOLAR) SEHEMU HII HUWA YA PINK KAMA AU WEUSI USIO MKALI LAKIN AKIZAA AU KUPATA MIMBA NQ KUTOA SEHEMU HIYO HUWA NYEUSI ZAIDIIIII!!!!!!NA KUWA NA KM VIPELE FULANI.
PIA MSTARI MWEUSI SEHEMU YA TUMBO CHINI YA KITOVU KUONEKANA ZAIDI MWEUSI::!!

medically speaking wewe ni Muongo! period !
 
We oa kwani dhambi yako yake??? Kama tatizo ni uzazi hata mabikra wanapata matatizo hayo aseee

Lakini kizuri ni kumwomba Mungu kwa hilo
 
Wengi wamechangia lkn nnachosema waweza kumjua lkn cha msingi ni kwamba uwez jua maana si kila mimba iliyotoka imecholopolewa...wengn hupata miscarage.. Yaani mimba inatoka ynyw na hvyo huwa wanaambiwa wanywe vidonge vya kusafisha kizazi ....ss unaweza fikilia mtu alitoa mimba kumbe ilitoka... Hapo wataalaam watusaidie
 
Now we see but a poor reflection as in a mirror; even as I am fully known.
 
Ndugu wanajamii forum,naomba kufahamu utamjuaje mwanamke aliewahi kutoa mimba zaidi ya miaka mitano au zaidi iliyopita,yaani kama aliwahi kutoa kwa muda huo halafu wewe unataka kufahamu kwa kipindi hiki
nenda kwa mganga
 
Back
Top Bottom