Nico1
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 825
- 306
Hahaa! Dunia ya jf inanipa raha sana yaani amuowe mzazi wake kaazi kweli kweliUkimchunguza kuku hutamla.
Huna ndoa labda umwoe mama yako "una tabia mbayaa"
Hahaa! Dunia ya jf inanipa raha sana yaani amuowe mzazi wake kaazi kweli kweliUkimchunguza kuku hutamla.
Huna ndoa labda umwoe mama yako "una tabia mbayaa"
HahahahahaUkiwa unanyonya matiti yake, yanatoa maziwa maziwa meupe.
HUWEZI KUJUA ALIYE ZAA SEUSE ALIYETOA MIMBA LOHNifahamu tu ili nisije ingizwa mjini baadae maana utoaji mimba umeongezeka
watu wa mwanza mna shida sana hasa wanaume wa kisukuma taabu sana unataka kujua ili iweje wakati ninyi ndo mnaongoza kwa kuwakana na kuwa na small houseNifahamu tu ili nisije ingizwa mjini baadae maana utoaji mimba umeongezeka
muoaji angekuja hapa mkuu huyo anataka kusummarize tu sio kuwekezanenda nae hosptal itafahamika tu bila hivo utainguzwa choo cha kike.
lkn unataka kuoa auunataka kuchezea tu?
afadhali umempa ukweli wake naona hatarudia tenaUkimchunguza kuku hutamla.
Huna ndoa labda umwoe mama yako "una tabia mbayaa"
mijanaume ndivyo ilivyoWatu wengne bana afu ukishajua then what? Tuachage the past huko iliko,
baada ya kuwaza maendeleo anawza chini kukoje yaaini watu wengine bwanaMi nilijua katoa mimba yako?... Wee vipi bwana!! Bata ukimchunguza sana huwezi kumla. Ganga Yajayo.