Bushrah
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 413
- 791
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unakutana na demu mkali, unampa simu yako ya tecno anasave namba yake, unafika nyumbani huikuti ile namba. Moyo unakuuma unaanguka chini unakufa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unakutana na demu mkali, unampa simu yako ya tecno anasave namba yake, unafika nyumbani huikuti ile namba. Moyo unakuuma unaanguka chini unakufa.
😆😆😆😆Kuna rafiki yangu amenipigia simu ananiambia shunie samahani hii simu imejipiga yaani nikiwa naongea na mtu kwenye simu inajipiga simu nyingine
Shikamooni wenye tecno
Mbaya zaidi ni 2G.Kuna fala mmoja kazini hua anakuja na tab ITEL anavimba. nikaiangalia RAM 465MB sikushangaa sana maana anatokea sengerema
😀😀😀😀😀😀 aiseeee.Kuna fala mmoja kazini hua anakuja na tab ITEL anavimba. nikaiangalia RAM 465MB sikushangaa sana maana anatokea sengerema
Watumiaji wa i phone wanajiona washafika mbinguni
Haha... Neddy hujabadilisha tu simu?simu ya taifa tecno werevaaa
Mkuu unatumia charger aina gani kuchaji kwa nusu saa?Masaa mawili unachaji betri ya gari au ya treni? Simu inatakiwa kuchaji nusu saa tu kuwa full charged.
Kama yangu mkuu!Hapa yangu memory imefuta vyote, yani ni raha sana
Umenikumbusha kuna dogo anayo kwanza network shida hapahapa bongo, alienda mkoani kijijini kwao alisahau social mediaachana na TEKNO mtu wa kumwonea huruma ni yule anayetumia ITEL
hawa watu wanahitaji msaada wa maombi
Acha uongo rafiki yanguKuna rafiki yangu amenipigia simu ananiambia shunie samahani hii simu imejipiga yaani nikiwa naongea na mtu kwenye simu inajipiga simu nyingine
Shikamooni wenye tecno
simu ya itel muda wote imenuna tu,ila bado kuna watu wanadunda mtaani confidently na vi itel vyaoUmenikumbusha kuna dogo anayo kwanza network shida hapahapa bongo, alienda mkoani kijijini kwao alisahau social media
Kuna rafiki yangu amenipigia simu ananiambia shunie samahani hii simu imejipiga yaani nikiwa naongea na mtu kwenye simu inajipiga simu nyingine
Shikamooni wenye tecno
Watumiaji wa i phone wanajiona washafika mbinguni
😛😛😛😛- Mara una type message characters zinajiongeza zenyewe!
- Unaongea mtu, ukikata simu haikati mpaka ung'oe betrii!
- Unafungua screen, inagoma kufunguka hadi uzime uwashe!
- Unasave namba ya mtu, siku unakuta mara imepotea.
- Muziki wake utadhani una suboufer!
- Mafundi wake na spare zake vimejaa kedekede kila kona!
- Zinatuunganisha haswa, kila unayekutana nae anayo!
Hongera TECNO.