Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,391
- 59,148
Na kurotateHahahah
Hiyo ya kuwaka torch nimemuona mtu jana anaongea na simu torch ipo on
Na kurotateHahahah
Hiyo ya kuwaka torch nimemuona mtu jana anaongea na simu torch ipo on
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]achana na TEKNO mtu wa kumwonea huruma ni yule anayetumia ITEL
hawa watu wanahitaji msaada wa maombi
Na kurotate
Yani hii simu nimeitumia tangu imetoka mwaka jana mpaka leo ipo kama mpya. Battery efficiency haijawahi kushuka. Kwenye J7 pro samsung walifanya upgrades nzuriSumsung J7 pro imekaa vizuri, hii unaweza kuipata kwa kwa laki tano.
J8 iko vizuri mara dufu asikwambie mtu.Nlikuwa na J5 2016 nmepoteza, saiv nawaza J8 nafikiri itaizid hyo J7 bila shaka.
Kwakweli hapa Sumsung nawapa shikamoo, hii kitu imetulia sana, unaiona waziwazi thamani ya pesa yako.Yani hii simu nimeitumia tangu imetoka mwaka jana mpaka leo ipo kama mpya. Battery efficiency haijawahi kushuka. Kwenye J7 pro samsung walifanya upgrades nzuri
Mimi nimecharge tangu jana mchana. Natumia internet kwa kuangalia movie online na kuperuzi hapa na pale ipo 64%. Na nilinunua July mwishoni 2017.Kwakweli hapa Sumsung nawapa shikamoo, hii kitu imetulia sana, unaiona waziwazi thamani ya pesa yako.
Hapa ninavyocomment chaji ipo 80% tangu saa 12 asubuhi nilivyoanza kutumia internet.
Hiyo ni tecno toleo LA zamani version 2- Mara una type message characters zinajiongeza zenyewe!
- Unaongea mtu, ukikata simu haikati mpaka ung'oe betrii!
- Unafungua screen, inagoma kufunguka hadi uzime uwashe!
- Unasave namba ya mtu, siku unakuta mara imepotea.
- Muziki wake utadhani una suboufer!
- Mafundi wake na spare zake vimejaa kedekede kila kona!
- Zinatuunganisha haswa, kila unayekutana nae anayo!
Hongera TECNO.
Kuna fala mmoja kazini hua anakuja na tab ITEL anavimba. nikaiangalia RAM 465MB sikushangaa sana maana anatokea sengeremaachana na TEKNO mtu wa kumwonea huruma ni yule anayetumia ITEL
hawa watu wanahitaji msaada wa maombi
Kuna fala mmoja kazini hua anakuja na tab ITEL anavimba. nikaiangalia RAM 465MB sikushangaa sana maana anatokea sengerema
[IMG][/IMG]
halafu unakuta jamaa kwao ndo wanamuona mjanjaKuna fala mmoja kazini hua anakuja na tab ITEL anavimba. nikaiangalia RAM 465MB sikushangaa sana maana anatokea sengerema
[emoji3] [emoji3] [emoji3] kama umenilenga Mimi vile [emoji4] [emoji4] [emoji4] ila Nina mpango wa kujichanga changa kupata japo ka iphone.Umeweka mfukoni mara unasikia mtu anapokea simu unaishia kusema simu ilijipiga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha uwongo wewe, techno gani kukata mpaka utoe betr ili kukata- Mara una type message characters zinajiongeza zenyewe!
- Unaongea mtu, ukikata simu haikati mpaka ung'oe betrii!
- Unafungua screen, inagoma kufunguka hadi uzime uwashe!
- Unasave namba ya mtu, siku unakuta mara imepotea.
- Muziki wake utadhani una suboufer!
- Mafundi wake na spare zake vimejaa kedekede kila kona!
- Zinatuunganisha haswa, kila unayekutana nae anayo!
Hongera TECNO.
HahahahaHahaha TECNO HOYEEView attachment 905222