Amri kuu ni Upendo
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 789
- 495
Nyie waongo bana, mbona mimi Tecno yangu haijawahi nifanyia vitimbi vyovyote kati ya mnavyovitaja?
Kwakweli hapa Sumsung nawapa shikamoo, hii kitu imetulia sana, unaiona waziwazi thamani ya pesa yako.
Hapa ninavyocomment chaji ipo 80% tangu saa 12 asubuhi nilivyoanza kutumia internet.
Hahaha, mkuu nimecheka kwa sauti umetishaTecno usipokua makin umeweka mfukoni unatoa ishapga picha chup/boxer, gegedo/papuchu na ishatuma kwenye ma group yote ya whatsapp, fb imeshapost na status tayar ni ku comment tu,
- Mara una type message characters zinajiongeza zenyewe!
- Unaongea mtu, ukikata simu haikati mpaka ung'oe betrii!
- Unafungua screen, inagoma kufunguka hadi uzime uwashe!
- Unasave namba ya mtu, siku unakuta mara imepotea.
- Muziki wake utadhani una suboufer!
- Mafundi wake na spare zake vimejaa kedekede kila kona!
- Zinatuunganisha haswa, kila unayekutana nae anayo!
Hongera TECNO.
Hiyo ya kufuta namba za simu au majina ndiyo inayonifurahisha zaidi.....Uber ,Taxify zisahau- Mara una type message characters zinajiongeza zenyewe!
- Unaongea mtu, ukikata simu haikati mpaka ung'oe betrii!
- Unafungua screen, inagoma kufunguka hadi uzime uwashe!
- Unasave namba ya mtu, siku unakuta mara imepotea.
- Muziki wake utadhani una suboufer!
- Mafundi wake na spare zake vimejaa kedekede kila kona!
- Zinatuunganisha haswa, kila unayekutana nae anayo!
Hongera TECNO.
Mnazipendea tecno kwa sababu ni bei chee... lakini ubora wake ni zero.
Kwa sasa tekno ambayo nitaweza kuipenda ni tecno l 9 kwa sababu inakaa na chaji muda mrefu.
Labda tecno wa kufikiria ni flagship zitakazoanza kutoka mwaka huu kwa sababu tacno imewekwa gsm arena now it means wako levo za kidunia sasa.
Yangu mwaka wa 3 haijakorofisha . uko bombs techno 8plus- Mara una type message characters zinajiongeza zenyewe!
- Unaongea mtu, ukikata simu haikati mpaka ung'oe betrii!
- Unafungua screen, inagoma kufunguka hadi uzime uwashe!
- Unasave namba ya mtu, siku unakuta mara imepotea.
- Muziki wake utadhani una suboufer!
- Mafundi wake na spare zake vimejaa kedekede kila kona!
- Zinatuunganisha haswa, kila unayekutana nae anayo!
Hongera TECNO.
Hiyo mimi daily inanitokeaUna ingia JF mala ina kwambia can't open this app..[emoji23][emoji23][emoji23]
mbona hata hazina shida itel, sema tu mmekaririachana na TEKNO mtu wa kumwonea huruma ni yule anayetumia ITEL
hawa watu wanahitaji msaada wa maombi
Kwa maelezo ya mtoa Mada. Ni kwamba hajui matumizi ya cm. Me natumia tecno na sijawahi kutana na tatizo hata moja kwenye cm.
uwezo wako wa kutumia cm ni mdogo.
HahaaUna ingia JF mala ina kwambia can't open this app..[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeshika itel nyingi ni simu za ovyo kabisa.mbona hata hazina shida itel, sema tu mmekariri
Nimeshika itel nyingi ni simu za ovyo kabisa.mbona hata hazina shida itel, sema tu mmekariri
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]achana na TEKNO mtu wa kumwonea huruma ni yule anayetumia ITEL
hawa watu wanahitaji msaada wa maombi