E mail nasoma, natuma ,document zangu naandaa vizuri nikiamua kuprint na print, camera ipo vizuri picha napiga, nikiwa na uhitaji wa documentary au habari yoyote you tube naingia, vizuri, nikiamua kupitia mitandao ya kijamii sipati tatizo kwanini sasa nikomae kununua simu ya laki name au saba wakati ipo simu ya laki tatu inaweza kufanya yote hayo tena kwa ufanisi,
Vijana ngojeni mmalize masomo ndio mtajua kumbe TEKNO na iPhone zote simu tofauti majina, ukiwa unakula bure unalala bure huwezi kujua thamani ya pesa kitu cha million moja utaona kawaida tu kuwanacho sababu pesa yako haina uhitaji, mkikua mtaacha huu ubishi was kitoto