Me natumia tecno na sijawahi kutana na tatizo hata moja kwenye cm.
Gari likipiga honi zinajiwasha zenyewe Bluetooth![]()



- Mara una type message characters zinajiongeza zenyewe!
- Unaongea mtu, ukikata simu haikati mpaka ung'oe betrii!
- Unafungua screen, inagoma kufunguka hadi uzime uwashe!
- Unasave namba ya mtu, siku unakuta mara imepotea.
- Muziki wake utadhani una suboufer!
- Mafundi wake na spare zake vimejaa kedekede kila kona!
- Zinatuunganisha haswa, kila unayekutana nae anayo!
Hongera TECNO.
Wazee wa kuweka launchers za ku-download huwa mnajulikana kirahisi sana.Yanguu hii hapa...
View attachment 905360
Hahahaa kitochi chenyewe Cha Tecno !Bora nitumie kitochi kuliko tecno![]()
Hahahaaaa!Ukitaka ujue utamu wa tecno, iweke mfukoni halaf torch igeukie pajani bahati mbaya ijiwashe, inachoma unaweza itupa
Hivi hapa jf ni wapi mnaonana maana na mimi nataka nikuoneJamani mm zaidi nimefurahi kukuona
Watumiaji wa i phone wanajiona washafika mbinguni