vallentino86
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 533
- 215
hasa Tecno H6, mim nlishahamiaga Samsung kuanzia kitochi chang mpaka smartphone.Duh noma!
Mixer kujiweka flight mode wakati unazumgumza na simu na kujiwasha torch.unakuta mtu anaongea na simu mchana wa saa sita jua kali ila jisimu limejiwasha tochi.