Kumiliki simu ya TECNO kuna raha zake bwana!

Kumiliki simu ya TECNO kuna raha zake bwana!

Wakuu tunaponunua simu tuwe makini,Tecno kila siku wanaboresha brands zao,unapotaka simu unatakiwa uangarie specification zake kabla ya kununua au ulizia mtu ambae hata kaitumia kwa mda mfupi,kuna watu wanajua simu kupta maelezo kwa ajili ya ufuatiliaji wa brands.
Tecno mwanzoni walikuwa na simu za ovyo sana ila kila kukicha wanakuwa vizuri,sasa nazani hao wote wanao lalamika ni wahanga wa mwanzoni sana waliowahi kutumia tecno wakiwa wanatumia brands za zamani ambazo zilikuwa ovyo zaidi.Angaria uwezo wa simu japo ni tecno.kuna tecno nzuri sana yani huwezi kujutia.
Angaria baadhi ya matoleo yao hasa yale ya CAMON C na X .
Mfano Tecno Camon c7 ,c8 ,c9 ,zilifanya vzuri sana mambo ya kustuck haikuwa rahisi.Pia kwa sasa simu zipo nzuri tu we cheki simu kama Tecno Camo x na x pro mbona zipo safi tu na bei yake ni ya kishikaji tu.waliianza na 420k ila hadi sasa ni kama c zaidi ya 350k ,camera ni 20 kwa 16mega pixel,inajaa fasta mana inakifaa maalumu cha kujaza simu haraka na haimalizi chaji wepesi,quick charger.
kiukweli zamani ukiwa na tecno hasa maeneo ya watu utakuwa unaenda kupokelea chooni,ila tecno za sasa ziko poa tu kwa matumiz ya kawaida ukiwa na laki nne unapata simu nzuri tu ukilinganisha na 800k kwa i phone na hali ilivyo nzuri kwa sasa bora ukachukua tecno ya 400k ukatulia naamini itakuwa nzuri tu .
Screenshot_20181021-093810.jpeg
 
Tecno ni tecno tu mkuu, hizo zingine ni mbwembwe tu. Specifications zao nyingi wana exaggerate
Wakuu tunaponunua simu tuwe makini,Tecno kila siku wanaboresha brands zao,unapotaka simu unatakiwa uangarie specification zake kabla ya kununua au ulizia mtu ambae hata kaitumia kwa mda mfupi,kuna watu wanajua simu kupta maelezo kwa ajili ya ufuatiliaji wa brands.
Tecno mwanzoni walikuwa na simu za ovyo sana ila kila kukicha wanakuwa vizuri,sasa nazani hao wote wanao lalamika ni wahanga wa mwanzoni sana waliowahi kutumia tecno wakiwa wanatumia brands za zamani ambazo zilikuwa ovyo zaidi.Angaria uwezo wa simu japo ni tecno.kuna tecno nzuri sana yani huwezi kujutia.
Angaria baadhi ya matoleo yao hasa yale ya CAMON C na X .
Mfano Tecno Camon c7 ,c8 ,c9 ,zilifanya vzuri sana mambo ya kustuck haikuwa rahisi.Pia kwa sasa simu zipo nzuri tu we cheki simu kama Tecno Camo x na x pro mbona zipo safi tu na bei yake ni ya kishikaji tu.waliianza na 420k ila hadi sasa ni kama c zaidi ya 350k ,camera ni 20 kwa 16mega pixel,inajaa fasta mana inakifaa maalumu cha kujaza simu haraka na haimalizi chaji wepesi,quick charger.
kiukweli zamani ukiwa na tecno hasa maeneo ya watu utakuwa unaenda kupokelea chooni,ila tecno za sasa ziko poa tu kwa matumiz ya kawaida ukiwa na laki nne unapata simu nzuri tu ukilinganisha na 800k kwa i phone na hali ilivyo nzuri kwa sasa bora ukachukua tecno ya 400k ukatulia naamini itakuwa nzuri tu .
View attachment 905691
 
Tecno ni simu nzuri sana. Nilianzaga na iPhone nikawadharau sana yaani apps za trials wao wanakulazimisha ulipie kabla hujaipakua. Nikahamia Samsang nao hovyo tu, nilipoingia Tecno nikaikubali mno. Tecno unaeza kuichezea utakavyo, ku-root ni rahisi, yaani mie na Tecno hadi kifo.
Una-root simu ili iweje?
 
Tumia brand kubwa uwezi kusikia malalamiko ya kustaki,kujiwasha yenyewe .tecno rafiki yake wa damu ni itel wanafanana kweli.tumia iPhones 📲 uwezi juta.
 
Nachoikubali tecno inauzika kuliko sim nyingine yyte ile madukani,,sisi wauza sim tukikosa tecno jua kbsa biashara imekudodea tayari,

Na pia ni rahis sana kwa wale walala nje kama mchicha kumuhonga demu smart ya tecno ya bei poa huku akikusifia mtaan kwamba bwana angu kaninunulia smart phone
 
Common Xpro jumla ni 490k/
Common X kavu ni 362k jumla
Common CM ni 288k jumla
Common CX ni 337k jumla
Common CX Air imeadimika
Tecno K7 ni 195k
Spark 2 ni 235 k
Pop 1 jumla ni 165k
Tecno F1 ni 128k
Tecno F2 147k
Tecno S 1 ni 74k
Tecno S 2 ni 84k

Bei zote ni jumla so rejareja ni maongez yako ww na muuzaji,so ukienda dukan we komaaa tu muingezee 4-mpk ten atakupa kwa bei hzo tena akizingua mtajie na bei ya jumla atakuona ww mjanja
 
Tuache ubishi wa kijinga kama unataka kuifurahia simu nunuwa Sumsung.

Nilitumiaga Tecno kwa muda W5 mateso yake siwezi kusahau, nawashukuru walioniibia ile simu wamenirudisha kinguvu nyumbani Sumsung.

Mimi hata iphone sihitaji.
Samsung gani waweza kumshauri mtu kununua ukiachana na zile za milion???
 
Nlikuwa na J5 2016 nmepoteza, saiv nawaza J8 nafikiri itaizid hyo J7 bila shaka.
Bila shaka itaizidi bei pia, mimi Galaxy J7 pro ya 2017 nimenunuwa kwa dola 300 kwenye duka la Sumsung wenyewe with 2 years warranty.

Go for it utaiona thamani ya pesa yako.
 
Back
Top Bottom