Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 53,856
- 99,887
Waswahili huwa wanaishiwa vijimaneno?Anaƴeikashifu tecno akifika nyumbani kwako mpe chai kwenye bakuli la bati apate kusema yote.Kiukweli haya mambo nayasomaga tu, nina mwaka wa NNE naumia h6 na sijawahi pata hizo shida