bandu bandu
JF-Expert Member
- Sep 7, 2013
- 2,747
- 874
Tecno ni simu za practical kwa wanafunzi wa sekondari China
TECNO na ITEL ni ndugu hao ni baba mmoja ila mama tofautiachana na TEKNO mtu wa kumwonea huruma ni yule anayetumia ITEL
hawa watu wanahitaji msaada wa maombi
yah ni kampuni moja ila itel ni hovyo kabisaTECNO na ITEL ni ndugu hao ni baba mmoja ila mama tofauti
Mkuu hata mimi kutokana na kubanawa na majukumu ya maisha nilikuwa na msimamo kama wako lakini nimelazimika kubali msimamo wangu.
Kinachonikera zaidi Tecno ni kustuck kitu ambacho hakipo kwenye sumsung.
Duh noma!
Mixer kujiweka flight mode wakati unazumgumza na simu na kujiwasha torch.unakuta mtu anaongea na simu mchana wa saa sita jua kali ila jisimu limejiwasha tochi.
Marhabaaa bintiKuna rafiki yangu amenipigia simu ananiambia shunie samahani hii simu imejipiga yaani nikiwa naongea na mtu kwenye simu inajipiga simu nyingine
Shikamooni wenye tecno
Sisi watumiaji wa iPhone hii kama aituhusu [emoji23][emoji23]
One samsung na wala hatujawah kuigusa !usi generalizes samsung zote .Tecno nyingine zipo poa sana. Natumia C9 haijawahi kusumbua mwaka wa 3 sasa. Simu zote zikichoka vimeoa hakuna yenye unafuu, sumsung aliheshimika sana ila betri zikaanza kulipuka tukaona kimeo. Kila simu inamatatizo yake
Sub wooferSuboufer ni nini mkuu?
Namba kupotea kutoka phonebook husababishwa na permissions unazotoa kwenye launcher ya simu yako,mfano,HiOS launcher,chakufanya launcher ikiomba ruhusa fulani,mfano kuaccess Contacts wewe Deny tu.Unakutana na demu mkali, unampa simu yako ya tecno anasave namba yake, unafika nyumbani huikuti ile namba. Moyo unakuuma unaanguka chini unakufa.
Simu ku-heat ni jambo la kawaida sana,chakufanya limit background data tu.Mimi hapa nataabika na TECNO N8 yangu, ukiwasha data inapata moto wa hatari[emoji3][emoji3][emoji3] tiba yake ni kutoa betri utulie kama nusu saa..Tecno hoyeee