ungana na Okonkwo katika Things Fall Apart, aliitumia bunduki yake kwa mara ya kwanza kumpiga mkewe Ekwefi hali ya kuwa ni Week of peace.
ikumbukwe haikuwa imewahi kuua hata panya.
utokee uhalifu nyumbani nawe uko matembezi/safarini itakusaidiaje? pia majambazi wanatumia AK47 na sub machine guns, hizo revolvers na riffles zitafurukuta kweli?
mwisho wa siku tutakubaliana tu na mleta mada; ni mzigo. hao waliofanikisha kuwalenga maadui ni bahati tu au timing, vinginevyo maadui wanajipanga hasa wakijua unayo.