Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,627
Wanabodi.
Wengi ambao wana mguu wa kuku wanapata shida nazo sana. Kuzitunza , kuzibeba na kuzimudu. Wengi wanagongwa wao na hizo machine zao. Hawana mafunzo, hawastahimili na wana misongo mingi ya mawazo.
Sijawahi kusikia kusikia mwenye bastola ameua mharibu kiufasaha. Never. Zinawaponza
Wengi ambao wana mguu wa kuku wanapata shida nazo sana. Kuzitunza , kuzibeba na kuzimudu. Wengi wanagongwa wao na hizo machine zao. Hawana mafunzo, hawastahimili na wana misongo mingi ya mawazo.
Sijawahi kusikia kusikia mwenye bastola ameua mharibu kiufasaha. Never. Zinawaponza