Kumiliki bastola ni mzigo na hasara

Kumiliki bastola ni mzigo na hasara

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,627
Wanabodi.

Wengi ambao wana mguu wa kuku wanapata shida nazo sana. Kuzitunza , kuzibeba na kuzimudu. Wengi wanagongwa wao na hizo machine zao. Hawana mafunzo, hawastahimili na wana misongo mingi ya mawazo.

Sijawahi kusikia kusikia mwenye bastola ameua mharibu kiufasaha. Never. Zinawaponza
 
Kuna jamaa yangu mguu wa kuku ulimwokoa mikononi mwa jambawazi!

Alilichungulia dirisha akalikunguta moja ya mguu likajidai kuanguka kumbe risaso haijalipata sawasawa,alivyotoka kuliangalia hamad akukutana nalo linamfuata huku mkononi lina kipande cha nondo linataka limchenjie.

Ndipo mguu wa kuku ukamwokoa baada ya kulikunguta nyingine kifuani, likatoa mguno wa basi umenipata!
 
Kuna jamaa yangu mguu wa kuku ulimwokoa mikononi mwa jambawazi!

Alilichungulia dirisha akalikunguta moja ya mguu likajidai kuanguka kumbe risaso haijalipata sawasawa,alivyotoka kuliangalia hamad akukutana nalo linamfuata huku mkononi lina kipande cha nondo linataka limchenjie.

Ndipo mguu wa kuku ukamwokoa baada ya kulikunguta nyingine kifuani, kikatoa mguno wa basi umenipata!
Hahahahahahahajanajajaj aisee
 
Ile ina masharti unapoenda kuomba umiliki ina vigezo vyake hadi unapewa usifikiri ile ni kama manati eti unaweza hata kuivaa shingoni
Wanabodi.

Wengi ambao wana mguu wa kuku wanapata shida nazo sana. Kuzitunza , kuzibeba na kuzimudu. Wengi wanagongwa wao na hizo machine zao. Hawana mafunzo, hawastahimili na wana misongo mingi ya mawazo.

Sijawahi kusikia kusikia mwenye bastola ameua mharibu kiufasaha. Never. Zinawaponza
 
Back
Top Bottom