Sawa boss, ngoja mambo yanyooke nifanye mchakato nipateNingekuazima lakini ni kinyume cha sheria hata nikifa mrithi wake ni serikali siyo familia yangu.
Sawa boss, ngoja mambo yanyooke nifanye mchakato nipateNingekuazima lakini ni kinyume cha sheria hata nikifa mrithi wake ni serikali siyo familia yangu.
Sijui mkuu ila ninachojua jamaa aliwadhibiti vizuri hao wasiojulikanaKwani jamaa walipanga kumuua?
Sijui mkuu ila ninachojua jamaa aliwadhibiti vizuri hao wasiojulikana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]Sema kwa siku za karibuni wengi waliokuwa wanazimiliki wamefulia na wamechoka ile mbaya.
Wamebaki nazo hawajui walindie nini.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mm ninayo, nilichukua 2011, sasa jichanganye! Niliitumia mara 4 tu toka niichukue tena kwa kupiga juu, ila hakuna kibaka aliyebaki!
HahahahahaMimi kuna siku nmelala zangu na nilikua nimechoka kweli, nikawa naota ndoto za kuibiwa ibiwa hamadi nikajikuta nmeamka kutokana na kusikia kitu kimedondika huko nje..ikabidi nichungulie kupitia dirishani maana ni maeneo pia ambayo huwa napaki kibeby walker changu..nikaona jamaa mbavu kama sita hivi ndo wanamalizia kung'oa bumper la beby walker yangu. Ata kama ningesema nitoke nisingewaweza kupambana nao,nikaona isiwe tabu maisha ya kidigitak Nikakoki tu mguu wangu nikamlenga mmoja wao kwenye paja. Haikupita sekunde sikuona mtu aliyebaki pale zaidi ya huyo jamaa ambaye nilimlenga. Sasa nisingekuwa na mguu wa kuku ningewawezaje hao jamaa
Naomba njia rahisi ya kumiliki bastola
Sheria inabana sana...
Unayo lakini ina mambo mengi ya kuzingatia...
Ikipoteza shida, ukiionesha hadharani pasipo sababu yoyote shida, ukisahu na ikaonekana kiholea shida...
Ukimtishia mtu ni shida... ukimfumua nayo mtu ni shida...
Kila risasi utakayoitumia ina hitaji maelezo siku ya ukaguzi au ku-renew leseni...
Cc: mahondaw
Hivi ukisafiri airport pale ukiwa nao si usumbufu Sana na ile ukaguzi wao?Kuna jamaa yangu mguu wa kuku ulimwokoa mikononi mwa jambawazi!
Alilichungulia dirisha akalikunguta moja ya mguu likajidai kuanguka kumbe risaso haijalipata sawasawa,alivyotoka kuliangalia hamad akukutana nalo linamfuata huku mkononi lina kipande cha nondo linataka limchenjie.
Ndipo mguu wa kuku ukamwokoa baada ya kulikunguta nyingine kifuani, kikatoa mguno wa basi umenipata!
Itakuwa unagongewa mkeMimi ya kwangu toka niinunue sijawahi piga mtu,ila nahisi huu mwaka hauishi.....
Yaaani kuna kakijana kamoja kana stress kana mguu wa kuku kana kazi ya kutishia tuu mke wake huo mguu wa kuku. Yule sijui walimpaje ile bastola.
Sheria inaruhusu kuacha bastola kwenye reception ya hotel kweli?Ninayo na sipendi kujulikana ninayo,naibeba nikiwa nina shughuli za kibenki au safari ndefu,nikilala hotelini naiacha reception na siingii nayo baa wala kumbi za starehe kwa sababu ninazozijua mwenyewe,kila mwaka mpya lazima nifyatue risasi tatu juu kuibless.
Inaruhusu kuiacha sehemu yoyote safe na kwenye hotel reception ndiyo sehemu salama.Sheria inaruhusu kuacha bastola kwenye reception ya hotel kweli?