Kumiliki bastola ni mzigo na hasara

Kumiliki bastola ni mzigo na hasara

Kuna jamaa yangu mguu wa kuku ulimwokoa mikononi mwa jambawazi!

Alilichungulia dirisha akalikunguta moja ya mguu likajidai kuanguka kumbe risaso haijalipata sawasawa,alivyotoka kuliangalia hamad akukutana nalo linamfuata huku mkononi lina kipande cha nondo linataka limchenjie.

Ndipo mguu wa kuku ukamwokoa baada ya kulikunguta nyingine kifuani, kikatoa mguno wa basi umenipata!
Basi umenipataaaa..he heee
 
Ulishawahi kuitumia kumwaga ubongo..?


Naunga mkono hoja, kwa wengi ni mzigo tu... utatamani itokee sababu ya kuitumia na haitokei.

Sijawahi.. bastola kama bima yako ya afya, anytime unaweza kuumwa ukatibiwa na hiyo bima yako.

So the same kwenye bastola, anytime muharifu anaweza kuku attack ukaji defend nayo..

Usisema bastola eti mzigo.. as long as uwazi kwa mapana.

Nimekupa mfano wa bima[emoji121]️[emoji121]️

Haya maelezo yafikirie kwa kina, utajua ninacho kimaanisha.
 
Mimi kuna siku nmelala zangu na nilikua nimechoka kweli, nikawa naota ndoto za kuibiwa ibiwa hamadi nikajikuta nmeamka kutokana na kusikia kitu kimedondika huko nje..ikabidi nichungulie kupitia dirishani maana ni maeneo pia ambayo huwa napaki kibeby walker changu..nikaona jamaa mbavu kama sita hivi ndo wanamalizia kung'oa bumper la beby walker yangu. Ata kama ningesema nitoke nisingewaweza kupambana nao,nikaona isiwe tabu maisha ya kidigitak Nikakoki tu mguu wangu nikamlenga mmoja wao kwenye paja. Haikupita sekunde sikuona mtu aliyebaki pale zaidi ya huyo jamaa ambaye nilimlenga. Sasa nisingekuwa na mguu wa kuku ningewawezaje hao jamaa
 
Asilimia kubwa ni sifa tu, hiyo mnayosema kukuongezea kujiamini au kutembea muda wowote sio lengo hasa la kumiliki chuma.... na hiyo kujiamini inawafanya wengi kutengeneza mazingira ya ‘kuchokozwa’ ili ‘wajihami’.

Nawaonea huruma hawa FFU wetu kila siku kubebelea mitutu, wengi wao hawajawahi hata kuzitumia japo kazi yao ni hiyo.... huwa natamani hata kuwachapa vibao ili japo wapige hewani kuondoa kutu.
 
Tatizo hata ukiitumia kujihami bado kuna maelezo ya kutosha utatakiwa kuyatoa, pia hawa wanaopewa hizi salaha waongezewe mafunzo na afadhali wawe wanapewa mafunzo kila mwaka.
Yaaani kuna kakijana kamoja kana stress kana mguu wa kuku kana kazi ya kutishia tuu mke wake huo mguu wa kuku. Yule sijui walimpaje ile bastola.
 
Ninayo na sipendi kujulikana ninayo,naibeba nikiwa nina shughuli za kibenki au safari ndefu,nikilala hotelini naiacha reception na siingii nayo baa wala kumbi za starehe kwa sababu ninazozijua mwenyewe,kila mwaka mpya lazima nifyatue risasi tatu juu kuibless.

Sasa kama hupendi kujulikana unayo, mbona umeandika hapa? Au kwa sababu umejificha nyuma ya keyboard... ungepita kimya kimya kama hupendi kujulikana, maana hapa tumeshajua mwenye id yako ana bastola!!
... jf bhana, yaani hapa zaidi ya nusu ya wachangia huu uzi wana bastola[emoji23][emoji23]
... maajabu ngoja waulizwe taratibu za kufuata ili umiliki!
Sijui walizinunulia somalia au kule namanga!!
 
Sasa kama hupendi kujulikana unayo, mbona umeandika hapa? Au kwa sababu umejificha nyuma ya keyboard... ungepita kimya kimya kama hupendi kujulikana, maana hapa tumeshajua mwenye id yako ana bastola!!
... jf bhana, yaani hapa zaidi ya nusu ya wachangia huu uzi wana bastola[emoji23][emoji23]
... maajabu ngoja waulizwe taratibu za kufuata ili umiliki!
Sijui walizinunulia somalia au kule namanga!!
Kwani unanijua au nakujua JF is the best.
 
Yaaani kuna kakijana kamoja kana stress kana mguu wa kuku kana kazi ya kutishia tuu mke wake huo mguu wa kuku. Yule sijui walimpaje ile bastola.
Utakuwa unamfahamu kwa juujuu tu
 
Ninayo na sipendi kujulikana ninayo,naibeba nikiwa nina shughuli za kibenki au safari ndefu,nikilala hotelini naiacha reception na siingii nayo baa wala kumbi za starehe kwa sababu ninazozijua mwenyewe,kila mwaka mpya lazima nifyatue risasi tatu juu kuibless.
Mkuu niazime nikasafishe nyota kidogo mtaani, nina mafunzo ya kuitumia na cheti ninacho kabisa
 
Back
Top Bottom