gublod
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 367
- 166
Namharibia nini? Wao wanavyoiba diesel inayoyonuliwa kwa kodi zetu, magar hayo wanavyoyapeleka kwa waganga wa kienyeji wakiwa na mabosi wao kazi ambayo haipo kwenye schedulle za mawaziri, ving'amuzi vya mabosi wao wanavyopakia kwenye magari yetu na kuyanajis ni jambo la maana hilo? Na wafukuzwe kama kusema kweli ni kosa! Allaa!
Mteneti hizo sasa ni chuki binafsi, kati ya dereva na serika yako ya ccm nani mwizi? mara ngapi wewe umekwenda kwa waganga ila hausemi? Hoja ni kwamba, wewe jina lako umelificha, lakini wenzako unawataja, weka lako hadharani. Jipange