Mkuu anayepaswa kuambiwa arudishe gari ya serikali ni waziri au dereva?
Huyo mbunge wako waźiri alikuwa Same na gari ya Waziri at the same time gari lake binafsi? Hebu nisaidie kwanza hapo.
Du na wewe kila mtu unauliza ni nani, Wewe ni Mtanzania kweli?