Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Yaaani hata sikuelewi ujue!!!!!!
Shikamoo Kaka...........
Naomba unielewe tu..
eti Lembeli ndio nani
Yaaani hata sikuelewi ujue!!!!!!
Huyo mbunge wake kiboko. Alikuwa na gari la waziri same, at the same time alikuwa na gari lake binafsi. Akili za kuambiwa changanya na za mbayuwayu.
Marhabaaa mama!!!!Shikamoo Kaka...........
Naomba unielewe tu..
eti Lembeli ndio nani
Marhabaaa mama!!!!
We unadhani sikuelewi sababu ya huyo mtu? ?!!!! Wa nini mie huyo???!!!
Kalenda yako inasomaje???
Hakuna nilichokielewa, Nana woote mnazunguka mbuyu tu.
Kuna nini?
Mkuu anayepaswa kuambiwa arudishe gari ya serikali ni waziri au dereva?
Huyo mbunge wako waźiri alikuwa Same na gari ya Waziri at the same time gari lake binafsi? Hebu nisaidie kwanza hapo.
Mwaka mpya na mambo mapya! Mkuu wa nchi kashindwa kuiweka nchi hii kwenye mstari mnyofu.
Mkuu anayepaswa kuambiwa arudishe gari ya serikali ni waziri au dereva?
Huyo mbunge wako waźiri alikuwa Same na gari ya Waziri at the same time gari lake binafsi? Hebu nisaidie kwanza hapo.
hili nalo nenoKamulize matayo na nchimbi waliondoka na usafiri gani dodoma baada ya nyadhifa zao kutenguliwa?
Kamulize matayo na nchimbi waliondoka na usafiri gani dodoma baada ya nyadhifa zao kutenguliwa?