Kumekucha: Mawaziri waitwa Dar ghafla!

Status
Not open for further replies.

Jumanne Mkota

JF-Expert Member
Jan 25, 2012
2,917
1,660
Wana JF,

Dereva wa mbunge wangu ambaye ni Waziri wa Maji asubuhi wakati tunapata supu kwa nguluma hapa Mwanga alipokea simu kutoka mahali anapopajua yeye na kusema kuwa ameambiwa apeleke gari TEMESA kama ana mafuta basi mpaka saa kumi leo awe amefikisha gari la serikali Dar.

Wakati huo huo mchana wa saa tano nilikuwa naenda Mjini Ms nikapata Lift ya gari binafsi la Mbunge wangu akienda KIA! Njia nzima alikuwa akimlaani Kinana na Lembeli kuwa ndio chanzo cha yote!

Natumaini yametimia mkuu kawaita ghafla
 
Hili gemu halijafika mwisho, bado kuna reshuffle ya mwisho Bunge la April 2015.
 
Wana JF,

Dereva wa mbunge wangu ambaye ni Waziri wa Maji asubuhi wakati tunapata supu kwa nguluma hapa Mwanga alipokea simu kutoka mahali anapopajua yeye na kusema kuwa ameambiwa apeleke gari TEMESA kama ana mafuta basi mpaka saa kumi leo awe amefikisha gari la serikali Dar.

Wakati huo huo mchana wa saa tano nilikuwa naenda Mjini Ms nikapata Lift ya gari binafsi la Mbunge wangu akienda KIA! Njia nzima alikuwa akimlaani Kinana na Lembeli kuwa ndio chanzo cha yote!

Natumaini yametimia mkuu kawaita ghafla

Mkuu anayepaswa kuambiwa arudishe gari ya serikali ni waziri au dereva?

Huyo mbunge wako waźiri alikuwa Same na gari ya Waziri at the same time gari lake binafsi? Hebu nisaidie kwanza hapo.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom