Usijali mkuuAkisem naomb unitag
Akichakachua kama kawaidaRound ya kwanza alikuwa na 58%
Je ya pili atafika ata hiyo 60%
Kama ni urahisi sawa. Ila Uraisi hapanaNgoja nikusaidie kusema kuwa Membe amekubaliana na LOwa..saa..kuhamia CHAGA..DEMA kupepwrusha bendera ya urahisi. Hatua hii italeta uhai kwa ukawa kwani Membe atapata support ya familia ya msoga, prof Mwandosya, Lowassa na Mwinyi na Nape..Hata team hapa kazi tu watashida kwa ushindi mwembamba usiozidi 60%
Hakika nilipokujibu nilikuwa nimekufahamu. GENTAMYCINE sijui kama atakuja huku. Akija unitag maana kuna uzi umeanzishwa na HR 666 kule atakuwa buzy kumjibu kunakotukuka.Aisee MUNGU ni mwema Nimesali na Kuimba pia..
Ushanifahamu..?
Acha uchuro!Vipi tena, mkulu kaachia ngazi nini!?
Hakika nilipokujibu nilikuwa nimekufahamu. GENTAMYCINE sijui kama atakuja huku. Akija unitag maana kuna uzi umeanzishwa na HR 666 kule atakuwa buzy kumjibu kunakotukuka.
Bangi na Viroba haviwezi kukuacha salama hasa bangi za weekend ni mbaya sana haina muda, Punguza BangiNarudia tena kusema Kumekucha je niseme nisiseme? Nasubiri ruhusa yenu tafadhali.
Nawakilisha.