robertmjavija
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 541
- 415
Saa 9 nadhani itapendeza zaidi
Hahaha aseme tuUkisema itapendeza zaidi...
Ngoja nikusaidie kusema kuwa Membe amekubaliana na LOwa..saa..kuhamia CHAGA..DEMA kupepwrusha bendera ya urahisi. Hatua hii italeta uhai kwa ukawa kwani Membe atapata support ya familia ya msoga, prof Mwandosya, Lowassa na Mwinyi na Nape..Hata team hapa kazi tu watashida kwa ushindi mwembamba usiozidi 60%
Mia tisa(900)itapendeza zaidi!Narudia tena kusema Kumekucha je niseme nisiseme? Nasubiri ruhusa yenu tafadhali.
Nawakilisha.
Ama kweli adui wa adui yako ni rafiki yako. Yetu macho.....Ngoja nikusaidie kusema kuwa Membe amekubaliana na LOwa..saa..kuhamia CHAGA..DEMA kupepwrusha bendera ya urahisi. Hatua hii italeta uhai kwa ukawa kwani Membe atapata support ya familia ya msoga, prof Mwandosya, Lowassa na Mwinyi na Nape..Hata team hapa kazi tu watashida kwa ushindi mwembamba usiozidi 60%
Kwema Mkuu umesali leo?Mkuu Kwemaa..?
Kwema Mkuu umesali leo?
Akisem naomb unitagUkisema usisahau kuniita