Labda kwenye mchujo wa CCM baada ya hapo watapita bila kupingwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM imetoa onyo kwa wagombea wake wote wa uchaguzi mkuu kwamba yoyote atakayepatikana akitoa rushwa atafungiwa maisha yake yote kushiriki uchaguzi kupitia chama hicho.
Hii ni hatua muhimu sana katika kudhibiti wale wote wenye nia ya kununua nafasi za uongozi.
Source Mtanzania Jumapili
Sent using Jamii Forums mobile app