laptop90
JF-Expert Member
- Sep 14, 2017
- 1,814
- 2,266
Ccm haijawahi kushinda bila rushwa
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM imetoa onyo kwa wagombea wake wote wa uchaguzi mkuu kwamba yoyote atakayepatikana akitoa rushwa atafungiwa maisha yake yote kushiriki uchaguzi kupitia chama hicho.
Hii ni hatua muhimu sana katika kudhibiti wale wote wenye nia ya kununua nafasi za uongozi.
Source Mtanzania Jumapili
Sent using Jamii Forums mobile app