Kumekucha CCM, hii ni aibu ya mwaka

Kumekucha CCM, hii ni aibu ya mwaka

Pamoja na yanayosemwa kuhusu CCM picha hii inaonyesha imechukuliwa wakati wa maandalizi, haiwezekani kukbaki tupu wakati eneo hilo lina wanachama, na kabisa kwa miji mingi Dar wasindikizaji hawatakosekana. Tuwe tunaleta taswira za ukweli wa tukio si kutegea nafasi ambazo si hali halisi.

Khaa!!! Bora wapost vitu kama hivi ili angalau wapate muda wa kujifariji na kugonga glass za wine wasahau matatizo kwa muda
 
Khaa!!! Bora wapost vitu kama hivi ili angalau wapate muda wa kujifariji na kugonga glass za wine wasahau matatizo kwa muda

Haya tuwekeeni picha mnazodai mkutano wenu ulipata watu
 
Dawa itawaingia taratibu. walikosa malori leo


QUOTE=PISTO LERO;10294743]Huu ni mkutano wa ccm jioni hii Segerea mwisho,wamejikuta ni viongozi na wamama wa kuhesabu kama tunavyoona,viti vyote viko wazi pamoja na kupiga muziki kutwa nzima ya leo,Nyie watu someni alama za nyakati......

MPAKA TUNATOKA ENEO LA TUKIO HAKUKUWA NA MWANANCHI YOYOTE ALIE JITOKEZA ZAIDI YA VIONGOZI WA CCM NA WAKEZAO.

TIZAMA JUA LINAVYO SOGEA BILA MATUMAINI
[/QUOTE]
 
Nani aliwaambia msipike wali na kusomba watu na malori?



hukunipata mkuu nimewaambia wanaodai mleta uzi kaleta picha ya maandalizi ya mkutano basi wao walete picha ya mkutano wenyewe tuone
 
hukunipata mkuu nimewaambia wanaodai mleta uzi kaleta picha ya maandalizi ya mkutano basi wao walete picha ya mkutano wenyewe tuone

Aaahh ngorope kumbe wewe ni kamanda mwenzangu....ubarikiwe sana kamanda
 
I hate when ignorant people insult my intelligence

kuombwa ushahidi ni kutukanwa? toa evidence acha kuhumahuma na kama wewe ni miongoni mwa wanaojiita inteligence hapo lumumba basi mna kazi
 
chagadema wanajifariji wakati hayo yalikuwa maandalizi tu, watu wameona ktk taarifa ya habari mlimani tv leo unaleta uongo wako??
 
Wewe mpuuzi kweli umepiga picha mapema kabla watu kufika unakuja kutoka povu huku JF kilaza mkubwa

Acha ubishi wewe mimi nimepita jioni segerea mwisho nimekutaa mkutano kuna wamaza tu wanaume hakuna... sasa sijui wamaza ndo hawajitambui? au kwa kuwa mikutano mingi ya mahubiri ya mitume feki wa siku hizi wamama ndo wengi, huenda na maccm yanatumia kauli mbiu hiyohiyo
 
chagadema wanajifariji wakati hayo yalikuwa maandalizi tu, watu wameona ktk taarifa ya habari mlimani tv leo unaleta uongo wako??

Safari hii magamba wameula wa chuya hahaha hahaha
 
kuombwa ushahidi ni kutukanwa? toa evidence acha kuhumahuma na kama wewe ni miongoni mwa wanaojiita inteligence hapo lumumba basi mna kazi

What is the highest level of education completed by your father?
 
What is the highest level of education completed by your father?

kiwango cha elimu ya baba yangu hakitakusaidia ila shule ameenda sana kuliko unavyojifikiria na kuona kuwa ukiandika kwa kingereza hapa jf ndo ujiko wengine tunakuona mburula tu jenga hoja zenye mashiko acha kutaradadi
 
Wewe mpuuzi kweli umepiga picha mapema kabla watu kufika unakuja kutoka povu huku JF kilaza mkubwa
Mkuu big in, huyu jamaa ni kauzu sana hizi picha zinaonyesha kwanza kama ndio wamemaliza kuandaa kwa kuanza na hao wamama hapo chini kama vile wanabadilishana mawazo machache huku wakisubiri wageni wakuu, mbona sioni picha ya mgeni rasmi hapo, inaonyesha kwamba ndio wapo wanawasubiri,ccm inapendwa sana na watanzania wa rika zote ndio maana umeona wameandaa viti vya kutosha kwa umati mkubwa unaotarajiwa kuhudhuri, huyu pimbi mleta mada anakwenda kupiga picha wakati wa maandalizi kweli chadema kuna vijana wehu
 
kuombwa ushahidi ni kutukanwa? toa evidence acha kuhumahuma na kama wewe ni miongoni mwa wanaojiita inteligence hapo lumumba basi mna kazi
ngorope sijui nguruwe,wewe nimegundua ni housegirl wa mnyika ndani,unatetea ujinga ujinga wa chadema hapa jf,tazama picha vema imepigwa kabla ya mkutano hujaanza na huyo mnywa viroba mwenzako,ccm inapendwa na inakubalika na watanzania wengi. Huo uwanja hautatosha hapo watafurika na kumwagika sana
 
Back
Top Bottom