Hahaha hahaha safari hii magamba mmeula wa chuya hahahaEndelea kuongopa.
Hahaha hahaha safari hii magamba mmeula wa chuya hahahaEndelea kuongopa.
kwi! Kwi! Kwi!
Kwaa! kwaa! kwaa!
umenifanya nicheke sana kamanda!
Wewe mpuuzi kweli umepiga picha mapema kabla watu kufika unakuja kutoka povu huku JF kilaza mkubwa
angalia nilipozungushia hapo
![]()
Are you intelligent??
Zile Fuso za kubebea watu hazifanyi kazi pande hizo.
Naona segerea wanaanza kurudiwa na akili
Endelea kuongopa.
Pamoja na yanayosemwa kuhusu CCM picha hii inaonyesha imechukuliwa wakati wa maandalizi, haiwezekani kukbaki tupu wakati eneo hilo lina wanachama, na kabisa kwa miji mingi Dar wasindikizaji hawatakosekana. Tuwe tunaleta taswira za ukweli wa tukio si kutegea nafasi ambazo si hali halisi.
sawa tuje kwenye mada yenyewe sasa. unazo picha zinanoonesha watu wamejaa kwenye mkutano huo, ili tuanzie hapo kujenga hoja kuwa mleta mada ni muongo?
Huu ni uongo mkutano ulikuwa saa 10 jioni ,picha umechukua saa 2asubuhi.
aliyekuroga amekufa