Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,519
- 284,004
Wewe mpuuzi kweli umepiga picha mapema kabla watu kufika unakuja kutoka povu huku JF kilaza mkubwa
Kwi! Kwi! Kwiii !!! Hata mkileta ubwabwa hatuji ng'oo !
Wewe mpuuzi kweli umepiga picha mapema kabla watu kufika unakuja kutoka povu huku JF kilaza mkubwa
Hii ni uhakika kabisa na hukum kwetu zanzibar walijaribu kufanya mkutano mji mkongwe, basi walipiga ngoma zao mpaka. Hamna aliejitokeza mwisho wakaondoka kama wageni wasio mualiko.
Leo tumeona kibanda maiti kulivo furika. Maalim Seif alinguruma huko na kuwakatisha tamaa kabisa CCM zanzibar. Hiyo katiba yao watarudi nayo wenyewe. Kwa Zanzibar hamna katiba mpya.
Kwi! Kwi! Kwiii !!! Hata mkileta ubwabwa hatuji ng'oo !
ok mchepuko tuwekee yakwako inayoonyesha watu
Mkuu ukiangalia kivuli cha juwa mbona kama jioni kwenye picha hii hapa chini? kama tumedanganywa tuwekee ya ukweli mkuu
![]()
leo jua kulikuwa hakuna huna hoja
Malori, mafuso, maisuzu nk hayakuwepo kuhamisha watu?
Au pesa ya kugawia wananchi wahudhurie haijaibwa hazina?
hyo n mchana kabsa inaonekana, mlikuja na maneno haya haya kule kalenga mkaangukia pua, kma mnadhan kujaza watu na kupotosha watu kwa picha ndo ushindi endeleeni hvo hvo mtatunukiwa vyeti @ pro cdm
sent from my iphone using jamiiforums.uuuu
Wewe mpuuzi kweli umepiga picha mapema kabla watu kufika unakuja kutoka povu huku JF kilaza mkubwa
Mkuu leo kulikuwa hakuna jua
Mkuu leo kulikuwa hakuna jua
Leo jua kulikuwa hakuna huna hoja
Zile Fuso za kubebea watu hazifanyi kazi pande hizo.
Naona segerea wanaanza kurudiwa na akili