Hahahaaaaaaaa mpwaaaaa umetishaaa kabisa mpwa Jana niliamua kuonja vya nyumbani maana nikilamba vya mbali usuku wanatutumia wasiojulikana njian mpwaa ungenshtua nionje baraka za mama unazokula mwenyewe mpwa....
Hahahahahhaaaa mpehigh lifty
Mpwaa si unajuaa tena sisi wengine wa lift
Nisingeweza msimamisha mwenye gari
Maana kama lift nipewe alafu nimsimamishe
Tena asingenielewa

Ova
 
Mpwa ulikuwa unaelekea viunga vyetu NN naamini ....zetu wamesalimika maana meza za mbele walijipanga kuniumiza heart Kama wameambiwa mpwa anakuja tatizo nilikwenda na bajeti kamili hahahaaa maguu katufundisha mengi jaman ntamkumbuka kwamagud
Nilikuwa naelekea kwenye kile kiwanja kabla ya mjengo wa kkobe
Kna mtu nlikuwa naenda mtia ndimu

Ova
 
Namwonea huruma sana MAMA, ana maadui wengi sana huko ktk system ya maamuzi. Inanikumbusha Marxist Second Laws of Dialectical Materialism, "Unity and Struggle of the Opposite". Yaani gari linatembea kwenda kulee; tairi linataka barabara iharibike gari lisimame, barabara inataka tairi lipasuke gari lisimame na injini inataka mafuta yaishe gari lisimame. Dereva anatakiwa awe makini sana. Kwanza achague njia bora ya kwenda/kupita, tairi imara na mafuta yakutosha kwenda kulee anakotaka kwenda. Asipangiwe yeye bila kujua hiyo safari, njia ya kwenda huko, nyenzo za kutumia na nishati ya kutosha kwenda kulee anakoenda.
 
hawa walishabomolewa na alama za x ziliwekwa kama walirudi ni kosa lao maana tanroads waliwawekea x toka mwaka 2017
Ok labda nikusaidie
Walipobomoa mzigooo ulitunika.120 m tukajadilii Sana HUKU mbona SHERIA aisemi hivi

Kilichofanyika Sasa
Ubungo MPAKA.kibo..walikula.30/30 kushoto/kulia

Walipotoka hapo MPAKA BAHAMA WALIKULA 45/45 SHOTO KULIA KARIBU UANGALIE HIZI TOFAUTI

TOKA BARUTI-MPAKA RESORT KUPITISHWA BUCHA HAWA NAWEZA SEMA WALIKUWA WAJUKUU.PENDWA WA MH DK JPM...HIKI KIPANDE AKIJAGUSWA KABISA ILA SASA NAHISI SABABU NYUMBA NYINGI.ZIKO ALMOST 45/45 LEFT NA RIGHT

SASA HII MPYA WAJUKUU PENDWA WANAADHIBIWA SASA TUSUBIRI SALA ZAO WALIZOFANYA LEO KWA KUHANI MUSA ......

SASA KUANZIA KMR MPAKA ......MBEZI PENDWA WEEE HUKO ZIMEENDA 120 USINIULIZE SHERIA IPI NENDA KAANGALIE KAMA KUNA MASALIA YALIOBAKI UTAONA BOMOA BOMOA YA UBUNGO-BARUTI NA BMOABMOA KMR-MBEZI VITU VIWLI TOFAUTI.......KMR MBEZI WALIADHIBIWA VILIVYO MKUU WACHA TUNYWE DOMPO ...KUONDOA MAWAZO

KAMA UKO MASAKI SI HABA TU.... UKAJAKUSABAHI ENEO KABLA KAZI AIJAENDELEEEEE( πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ rip
 
Utawala wa sheria na haki ni mzuri sana.
Mimi binafsi nampinga shetani mbaguzi aiyesema Kimara vunjeni ila Mwanza acheni.
 
Kama wapo ndani ya hifadhi ya barabara ni sawa
 
Bora wabomoe kabisa maana wakiachiwa wakazoe wataleta taabu mbele ya safari.
kimara, mbezi mpaka kibaha ni barabara kuuu ya kimataifa, ni lango kuu la JiJi la DSM, ni taswira ya JiJi la DSM.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…