Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,353
Hii kitu si mchezoAiseeee.. mzaha mzaha hutumbua usaha.
Hakuna mwanaccm mwenye aibuAione rais Hassan
Baraza la Wanawake la Chadema ( BAWACHA ) ambalo taarifa zinaonyesha kwamba ndio Baraza bora la wanawake Barani africa kwa sasa limefika kwenye ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuchagiza kuachiwa kwa Mwamba wa siasa barani Africa , Freeman Mbowe ambaye amesingiziwa ugaidi ili kumkomesha baada ya juhudi zake za kuhamasisha uwepo wa Tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya kukubalika na zaidi ya 80% ya Watanzania .
Video .
View attachment 1871504
Tambua kwamba Chanjo mil 1 za corona zimetokana na msaada wa MarekaniWamekwenda kutusemea kwa marafiki zetu....
Kila Mtu ana Uhuru wa kutoa mawazo yake na kusikilizwa(ikiwemo malalamiko)....
BAWACHA nao wana haki hiyo.....
Ila kubwa tu TANZANIA IS A SOVEREIGN COUNTRY....na isiyoishi katika kisiwa cha dunia yake.....
#NchiKwanza
#JMTMilele
#SiempreTanzania
Safi sana hivi wale Covid 19 wa mjengoni si Bado "ni Chadema"mbona wao hawamzungumzii Mwenyekiti wao!!au ni chadema kwa ajiri ya kupiga mpunga wa bungeni tu?!!Baraza la Wanawake la Chadema ( BAWACHA ) ambalo taarifa zinaonyesha kwamba ndio Baraza bora la wanawake Barani africa kwa sasa , limefika kwenye ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuchagiza kuachiwa kwa Mwamba wa siasa barani Africa , Freeman Mbowe ambaye amesingiziwa ugaidi ili kumkomesha baada ya juhudi zake za kuhamasisha uwepo wa Tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya kukubalika na zaidi ya 80% ya Watanzania .
Video .
View attachment 1871504
Ninawiwa kusaidia.Ninafanya jambo ,Mola anipe kibali nifanye ninachokusudia kwa faida ya kizazi cha sasa na baadaye.Allah unijaaliye.Baraza la Wanawake la Chadema ( BAWACHA ) ambalo taarifa zinaonyesha kwamba ndio Baraza bora la wanawake Barani africa kwa sasa , limefika kwenye ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuchagiza kuachiwa kwa Mwamba wa siasa barani Africa , Freeman Mbowe ambaye amesingiziwa ugaidi ili kumkomesha baada ya juhudi zake za kuhamasisha uwepo wa Tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya kukubalika na zaidi ya 80% ya Watanzania .
Video .
View attachment 1871504
Sisi wengine ni miongoni mwa wawezeshajiAfadhali wao wanawafanya kitu kuliko wengi wetu tumekaa tu kusubiri mabadiliko walete wengine halafu sisi twende kufaidika.
Natambua hilo...Tambua kwamba Chanjo mil 1 za corona zimetokana na msaada wa Marekani
Hakika 🤣Ubalozi unahesabiwa ni nchi ndiyo maana Lisu alivyoingia tu mule kumtoa ikawa haiwezekani ila ili ugewe hizo privileges na wewe una sharti la kutoingilia mambo ya nchi husika.
So ubalozi wa Marekani wanachowaza fanya ni kuyapokea hayo malalamiko na kuyatuma kwa idara inayodeal na Afrika.
Hii yaweza chukua miaka.